Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Punguza utoto post zako zimekuwa too muchNjoo Moshi Manispaa idara ya msingi nije Babati Vijijini
Mawasiliano.
0684668425View attachment 2075702
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza utoto post zako zimekuwa too muchNjoo Moshi Manispaa idara ya msingi nije Babati Vijijini
Mawasiliano.
0684668425View attachment 2075702
Natafuta Mwalimu wa kubadilishana nae Kutoka Karagwe Kuja Pwani. Yaani yeye aende Karagwe
Wew naye matangazo yako yamrkuwa mengi mpaka imekuwa kero. Kama hamna watu wa kuhamia si uach kazi? Unatusumnuz na comment zako kibao wakati unachosema kilisheleweka. UnakeraJaman Njooni Kasulu mjini,. WAHA Rudini nyumban kumenoga. Mje kula MAHOLE, ZEBANGIZA NA MIGEBUKA. mm Nataka kihama Kwa sababu ya kifamilia. Ila uku vyakula Bei poa sana.
Mkuu vipi ulishapata?Njoo dsm nije Tabora idara Secondary
Hahahahahaa ni Mwalimu wa Shule ya Msingi Mpwa, nipo NGARA, si umesoma hapo? TRA kwenu nyie MpwaKumbe braza ni mwalimu..!!!
Nilijua upo TRA.
#YNWA
Ulipata? Nipo tayariNjoo Singida naye aje KIGOMA wilaya yoyote. Fanya fasta mwezi wa 12 kieleweke.
Ulipata? nipo tayarnjoo singida nije Kigoma 'idara sekondari na msingi'0757 784476
Unataka kuhamia mkoa gani?Mimi niko katoro nafundisha biology na chemistry nahitaji kuhamia mwanza, iwapo unahitaji kuja katoro Naomba tuwasiliane.