Kuna watu wanaumwa kaswende, eti njoo kakonko nije Dar Es Salaam wilaya ya ilala tambaza sekondari [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Jaman Njooni Kasulu mjini,. WAHA Rudini nyumban kumenoga. Mje kula MAHOLE, ZEBANGIZA NA MIGEBUKA. mm Nataka kihama Kwa sababu ya kifamilia. Ila uku vyakula Bei poa sana.
Wew naye matangazo yako yamrkuwa mengi mpaka imekuwa kero. Kama hamna watu wa kuhamia si uach kazi? Unatusumnuz na comment zako kibao wakati unachosema kilisheleweka. Unakera
 
Natafuta mchumba awe mke baadae awe mwalimu miaka 24+ awe secondary,uwe mrembo mwenye msimamo na mchapakazi,sichagui kabila mm nipo Dar, mfanyakazi wa SERIKALI .taasisi ....... please tujuane pm
 
NATAFUTA MWALIMU WA KUBADILISHANA NAYE KITUO CHA KAZI NIJE MBEYA WILAYA YOYOTE AJE TABORA IDARA YA MSINGI
Mawasiliano 0621284764
 
Waungwana habari zenu,nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,naomba niwaulize uhamisho wa watumishi WASIOBADILISHANA utatoka lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…