NTABO wa NTABO
Senior Member
- Jun 25, 2017
- 191
- 221
Science, mathematics & ICTMasomo please!
Njoo Kaliua mjini mkoani Tabora jirani Sana na Kahama nije Kilombero. Masomo Basic mathematics and ICT.Njoo Kilombero/Mlimba nije kahama, Nzega, Bukombe.. sekondari sayansi
Masomo ganiNipo Nkasi-Rukwa nije Kigoma Mjini au Vijijini
Math na chemiaMasomo gani?
Mie niko BundaMath na chemia
Bunda hapanaMie niko Bunda
Kumbe wewe Joyce ndalichako. Nadhan umenielewaNjoo mbulu DC,nije maswa simiyu.
Masomo physics & Geography. Idara elimu secondari
0652886184.
Kwaniaba hii ndo unakosea wezako Hadi watiane kwanza ndipo uhamisho ukamilike ,utayaweza kwaniaba kwaniaba ndo nn ,acha aje mwenyeweKwa niaba anatafuta mtu wa kubadilishana kituo cha kazi aje geita wilaya ya mbogwe yeye aende tanga wilaya yoyote idara msingi
07191512715
Mhuuu!!Tuwasiliane 0686428151
Njoo Bariadi Dc nije Dodoma Dc au Ts Idara secondary. Nina Miaka mitatu kazn , TSD na barua ya kuthibishwa 0759403138Njoo kusini Lindi kuchele ni idara ya msingi pg 0654687529
Shule gani mkuu huko bunda?Mie niko Bunda
Idara na masomo please!Mimi naitwa Mwl.ELIUD Ndewirwa Pallangyo.
Tsc no yangu ni N.40925 nipo idara elimu secondary (nipo Mwanza Nansio) ninaomba kupata mtu
wakubadilishana nae kituo au sehem ninayo fanya kazi mimi niende mkoa mmoja wapo kati ya iyo hapo.
1 Dodoma 2.Arusha 3.manyara 4.pwani 5.Tanga 6.morogoro 7.Kilimanjaro 8.singida au Tabora.
Mawasiliano yangu.
0628040353 au 0764633719 au 85ihope@gmail.com
Nitafutie na mimi wa hivi hivi kama ulishapata!! Idara elimu sec (maths)njoo manyara nije mwanza