kilwa Kingdom
Member
- Apr 9, 2023
- 12
- 19
Njoo wilaya ya Handeni karibu na GairoNjoo Dar kinondoni , nije Morogoro mjini au Gairo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo wilaya ya Handeni karibu na GairoNjoo Dar kinondoni , nije Morogoro mjini au Gairo
Natafuta Mwl wa kubadilishana kituo cha kazi, idara elimu sekondari. Kwa wale walimu wa kutoka mkoa wa KAGERA -NGARA mnaopatikana maeneo ya Magu, Sengerema, Misungwi, Butiama, Musoma, Geita na Ramadi naomba tuwasiliane inbox.
Vp Rombo Kilimanjaro utaenda? (Kwa niaba lakini)Niko songea mc natafuta wa kuja huku (songea mc) niende Dodoma, Arusha, Moshi, Tanga, Dar Es Salaam, au Manyara email: itugnabiol@gmail.com
Njoo Kilimanjaro basi..Njoo songea manispaa niende mko wowote ISIPOKUWA Mikoa ya kusini yote pamoja na kanda ya ziwa!
Idara sekondari
Inbox for details!
Nipe namba mkuuNjoo Kilimanjaro basi..
Upo idara gani?Nipe namba mkuu
MathematicsUpo idara gani?
Yeye ni arts, watazinguaa kupitisha huko kwako mkuuMathematics
Sidhani, lkn sawa!Yeye ni arts, watazinguaa kupitisha huko kwako mkuu
njoo ruangwa lindi nije popote ulipo isipokuwa mikoa ya kusini (lindi, mtwara, ruvuma nk)Njoo songea manispaa niende mko wowote ISIPOKUWA Mikoa ya kusini yote pamoja na kanda ya ziwa!
Idara sekondari
Inbox for details!
NJOO MUSOMA DC AJE ARUSHA DC,MERU ,HAI,MONDULI,BABATI,MOSHI DC NA MOSHI MC.IDARA ELIMU MSINGI KITENGO ELIMU MAALUM