Abie
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 289
- 535
Hii inaonekana nzuri hii. Tupe tips kidogoAndika barua tu ila nakushtua kwa herufi kubwa MUHESHIMU SANA YULE MTU WA MASJALA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inaonekana nzuri hii. Tupe tips kidogoAndika barua tu ila nakushtua kwa herufi kubwa MUHESHIMU SANA YULE MTU WA MASJALA
Nitazingatia hili... Kumbe anaweza kuwa na maamuz kweny kufanikiwa au kutofanikiwa kwanguAndika barua tu ila nakushtua kwa herufi kubwa MUHESHIMU SANA YULE MTU WA MASJALA
Pakubwa mnooooNitazingatia hili... Kumbe anaweza kuwa na maamuz kweny kufanikiwa au kutofanikiwa kwangu
Ulianza lini huu utaratibu mkuu?Fuata huu ushauri wangu. Hao vishoka wote waliokuwa wanafanya huo ujanja, hawapo tena pale Wizarani.
Siku hizi kuna mfumo mpya, ambao utakudaka mapema tu iwapo utatumia hiyo njia ya mkato. Usikubali mtu akurubuni kwa kumpa kiasi chochote kile cha fedha ili upate hicho kibali cha uhamisho kutoka juu. Utatepeliwa.
Tangu 2020. Kama hajapata mushkeri wowote, basi jitahidi umshauri kuhamisha mshahara haraka iwezekanavyo. Na atambue fika kuna kuhamisha taarifa zake binafsi (data sheet), na kuhamisha mshahara. Na akikutana na Approver mkuda kwenye Mkoa anakokwenda, basi imekula kwake.Ulianza lini huu utaratibu mkuu?
Samahani lkn maana kuna jamaa yangu karuka mwezi March kutoka Mkoa x kwenda Mkoa Y kwa njia hiyo.
BTW,hata ukifuata utaratibu pia vaa sharti la mikono mirefu.
Ulianza lini huu utaratibu mkuu?Fuata huu ushauri wangu. Hao vishoka wote waliokuwa wanafanya huo ujanja, hawapo tena pale Wizarani.
Siku hizi kuna mfumo mpya, ambao utakudaka mapema tu iwapo utatumia hiyo njia ya mkato. Usikubali mtu akurubuni kwa kumpa kiasi chochote kile cha fedha ili upate hicho kibali cha uhamisho kutoka juu. Utatepeliwa.
Vyema mkuu.Tangu 2020. Kama hajapata mushkeri wowote, basi jitahidi umshauri kuhamisha mshahara haraka iwezekanavyo. Na atambue fika kuna kuhamisha taarifa zake binafsi (data sheet), na kuhamisha mshahara. Na akikutana na Approver mkuda kwenye Mkoa anakokwenda, basi imekula kwake.
Maana mfumo utahitaji taarifa zake zote, ikiwemo barua yake ya uhamisho, na iliyodainiwa na hao vigogo niliowataja hapo juu.
[emoji173][emoji419][emoji375]Happy belated day mkuu...uwe na maisha marefu yenye baraka tele.
Aamen[emoji375][emoji419][emoji419][emoji375]Mungu akupe maisha marefu.
Mwalimu imepata ajira leo tu unawaza kuhama!!!! Nenda katumikie taifa, bt ukihitaji kweli kuhama tena fasta kwenda unapotaka andaa kitu kama milioni hvi.Hivi kuhama kuna zingatia vigezo gani ?
Unaweza kuwa mpya kwenye ajira na ukapata nafasi ya kuhama ?
Kuna mtu anataka kutoka Dodoma aje Arusha idara msingi mkuu, karibu on tuyajengeWale wa Tanga Moro Au pwani pamoja na Dodoma kujeni Arusha mm niende huko.
Mwalimu imepata ajira leo tu unawaza kuhama!!!! Nenda katumikie taifa, bt ukihitaji kweli kuhama tena fasta kwenda unapotaka andaa kitu kama milioni hvi.
Mwalimu imepata ajira leo tu unawaza kuhama!!!! Nenda katumikie taifa, bt ukihitaji kweli kuhama tena fasta kwenda unapotaka andaa kitu kama milioni hvi.