Kuna mtu anataka kutoka Dodoma aje Arusha idara msingi mkuu, karibu on tuyajenge
Ok njoo inboxKuna mtu anataka kutoka Dodoma aje Arusha idara msingi mkuu, karibu on tuyajenge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu anataka kutoka Dodoma aje Arusha idara msingi mkuu, karibu on tuyajenge
Ok njoo inboxKuna mtu anataka kutoka Dodoma aje Arusha idara msingi mkuu, karibu on tuyajenge
Piga 0789643594Kuna mtu anataka kutoka Dodoma aje Arusha idara msingi mkuu, karibu on tuyajenge
Kuna mtu amekupigia simu naona umeshaona mkuuPiga 0789643594
Njoo tabora,Njoo songea mc mwl
Niko mkuranga nataka chamwino kama yuko serious tuwasiliane namba yangu ni 0694357882Daa bwanae!!!!
Kuna mtu anamtafuta mwalimu(grade IIIA) wa kubadilishana nae yeye yupo dodoma wilaya ya chamwino, yeye anataka aje dsm iwe ilala, kinondoni, temeke, ama hata pwani maeneo ya kibaha, lakn pia morogoro sio mbaya!!!!
Plz ukiwa na newz nistue kaka!!
Ahsante sana!!
Kama hujapata bado mm niko Mkuranga nataka kuhamia chamwinoSasa si useme kama unataka kubadilishana? Sio lazima upangiwe shule anayotoka. Mimi pia nipo Chamwino tubadilishane basi Mkuu
Mm ni wa grade IIIA Niko mkuranga PwaniWakuu msaada tafadhali.
Naomba kwa anayehitaji kuhamia Chamwino kwa kubadilishana toka wilaya yoyote ya Mkoa wa Dar es Salaam,Wilaya ya Kibaha na Mkuranga tafadhali sana naomba ani PM.
Mwalimu anayetafutwa ni wa Grade A. Nawashukuruni sana
Mawasiliano yangu ni 0694357882Wakuu msaada tafadhali.
Naomba kwa anayehitaji kuhamia Chamwino kwa kubadilishana toka wilaya yoyote ya Mkoa wa Dar es Salaam,Wilaya ya Kibaha na Mkuranga tafadhali sana naomba ani PM.
Mwalimu anayetafutwa ni wa Grade A. Nawashukuruni sana
0694357882Sasa si useme kama unataka kubadilishana? Sio lazima upangiwe shule anayotoka. Mimi pia nipo Chamwino tubadilishane basi Mkuu
Yani walimu ahseee kwani Kuna ulazima wa kutaja grade, wewe sema mm msingi full stop afu namba peaneni PM sio humu hadharani utakaribisha matapeli na Wala rushwa lofer wewe. Nikiwaita mafala mnachukiaMm ni wa grade IIIA Niko mkuranga Pwani
Jiheshimu nduguYani walimu ahseee kwani Kuna ulazima wa kutaja grade, wewe sema mm msingi full stop afu namba peaneni PM sio humu hadharani utakaribisha matapeli na Wala rushwa lofer wewe. Nikiwaita mafala mnachukia
Pole SanaMno mno nilitafuta uhamisho kuhama wilaya kilakitu kilikua sawa nikaja kukosa kibali sehem ya mwisho kbsa dah ni huzun[emoji2362][emoji2362]
Acha utahila apa sio Facebook tumia akili ulimbukeni utakuponza afu naona umevamia jamiiforum hunijui wewe tena Kaa Kwa adabu.Jiheshimu ndugu
Acheni upumbavu namba mtumiane pm huko walimu muda mwingine tunazingua sana Kuna haja gani ya kujichoresha huku tunasababisha wenyewe mazingira ya kudharaurika.Jiheshimu ndugu
Umeona post ya lini hiyo?Mm ni wa grade IIIA Niko mkuranga Pwani
Comment kwa adabu unapomuelewesha mtu lkn kwa kutumia ubabe sidhani kama ni njia sahihi. Matapeli tunajua wapo lkn mueleweshe mtu taratibu ndugu, pia huu ni mtandao wa wasomi matusi ya nn kama huna shule?Acha utahila apa sio Facebook tumia akili ulimbukeni utakuponza afu naona umevamia jamiiforum hunijui wewe tena Kaa Kwa adabu.