Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona sijakuelewa
Nimempa mdogo wangu no yako uje Kilimanjaro
mimi nipo tabora nataka kufanya kazi nje na tabora kwa sababu mi mzaliwa wa mkoa huu hivyo nataka nifa
nye kazi nje ya mkoa wangu nipo tabora vijijini km 26 kutoka tabora mjini,usafiri wa uhakika upo lipo basi nauli sh 2500 hadi tabora mjini.
kwa mwenyeji wa tabora nipo barabarani kuelekea ulambo.
nafikiri nitakuwa nimeeleweka vizuri.
mkuu ebu nipe location ya ofisi za halmashauri ya Tabora vijijin, shem wako kapangiwa huko mi nmewah kuishi tabora mjini kidogo wakati nasoma Milambo.
yani wewe mwalimu alafu kujieleza ujui kweli watoto watakuelewa darasani sema miye nipo tabora sehemu fulani shule furani, nataka kwenda mkoa fulani, siyo barabara ya kwenda ulambao sijui nini , wewe unafikilia uko unapajua wewe tu wewe andika upo shule gani eneo gani la tabora maana kutaja kiwango cha nauli si kigezo haya anza kujieleza upya tukuelewe.
acha mawazo ya kibangi pichu wewehuwezi kunielewa, maana wewe ni zao la kusoma bila mtaala
Mi nipo nachingwea natafuta wa kubadilishana nae toka Tanga.
ofisi za tbr vijijini zipo barabara ya tbr-mwanza umbali wa km 55 kutoka tabora mjin ila shughuli nyingi zinafanyikia mjini.kijiji cha isikizya.mabama,isikizya,na ilolangulu hizi ndio kata nzuri ktk wilaya ya tbr vijijini.