hata mimi nilitumia pesa nyingi tu kupata hapa Dsm
nadhani adabu ushike kwanza wewe! Then ndo uje na hyo habri
vip kaka njoo mbinga mim nirudi hom singida
nakushaur kaweke matangazo kwenye wilaya hizo
Huyu jamaa alishawahi kuniuzia smarphone kmbe ameshakuwa mwl.....jamaa naye anamshauri ahame taaluma sasa aende wapi!?Kazi unayo hama hiyo taaluma mkuu...