MUME MWEMA
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 327
- 44
Npo mbeya vijijin shule ya sekondari izyira ila nataka kwenda dodoma
Dodoma nenda tu kaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Npo mbeya vijijin shule ya sekondari izyira ila nataka kwenda dodoma
mimi nimwalimu level ya shahada natafuta mwalimu wa kubadilishana toka Tunduru kwe nda mbeya wilaya yoyote tuwasiliane kwa namba. 0755806477
Kubadilishana nae mawazo au notes mkuu?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mwalimu wa idara ya
sekondari aliyeko Kibaha au Bagamoyo anayetaka kuja wilaya ya Masasi
Mkoa wa Mtwara tuwasiliane kwa namba 0767229161.
Mimi nipo Temeke! Vp una milion 7 hapo 2fanye biashara!
Kama sababu ni ya msingi hivyo atafute njia nyingine mfano afike katika mikoa aliyoitaja aone kama nafasi zipo (ni wazi walimu hawatoshi hasa nje ya Dar) then aombe uhamisho toka TAMISEMI. Naamini swala kama ni la kiukweli uhamisho unawezekana si lazima tu kuwe na kubadilishana.