sogea sumbawanga ni karibu na iringa
 
mwalimu wa longido weka contact zako tuwasiliane mi nitafute kwa 0713222582
 
Mwalimu wa longido nitafute kwa 0713222582 kuna mwalimu yupo hapa bariadi anataka kuja huko longido
 
kwa anayetaka kuja iringa kilolo, mimi niende ama morogoro ama pwani,
 
Mdogo wangu yuko Tabora-Sikonge idara ya Sekondari anataka kwenda wilaya za Kyerwa/Bkb manispaa mkoa wa Kagera. Aliye tayari anipm mimi ama amtafute kwa namba 0782177775
 
Wadau samahani kuwavuruga nina shida na mwalimu wa msingi manispaa ya kinondoni anisaidie mambo fulani kama yupo naomba anipm namba yake ntamcheki
 
Kwa mwalimu anayehutaji kuja NJOMBEE
Na Mimi nije
1. Makambako
2. Iringa mjini
3. Mbeya mjini
4. Dodoma mjini
5. Mafinga
Wasiliana na me, idara ya secondary @0753923520
 
mwalimu njoo kaliua tabora ni karbu sana na mikoa ya Mwanza
shinyanga
kigoma mimi nije katika halmashaur yoyote ktk mikoa hii
kilimanjaro
tanga
arusha
moro
singida
idara ya msingi
0715217190
 
walimu aliyetayari kuhamia wilaya ya Masasi mtwara kutoka
morogoro
iringa
ruvuma
mwanza
idara ya msingi anicheki
0656953500
 
Mwalimu njoo Tukuyu- Rungwe nije Kilimanjaro
Arusha
Pwani
Dar es salaam
Idara msingi.mawasiliano 0717629898
 
Njoo tanga mjni - nije moro town
Njoo tanga mjini-nije kibaha Vijijini /mjn
Njoo tanga nije kigoma town
Idara ni secondari ni PM, km upo tiyari
 
Mwalimu NJOO SINGIDA NAMI.NIJE MIKOA YA KASKAZINI kama ARUSHA AU KILIMANJARO KUIFATA FAMILIA YANGU Iliopo Arusha.....JAMANI
IDARA SEC #0769591585
 
Njoo Ngara - kagera Nije
Arusha
Kilimanjaro
Manyara
Wilaya yoyote sekondari! 0712272365/0758165769
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…