WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
Walimu wa msingi mnakwama wapi jamani njooni Ruangwa mfaidi fursa... walimu watatu wanatafuta wa kubadilishana nao kutoka mkoa wowote ilimradi isiwe Lindi Mtwara wala Ruvuma... lengo wasogee karibu na nyumbani wana miradi yao, wala siyo kwamba kuna la zaidi


Njoo pm
Kwani Ralimu eh njooeni.. basi pwani mafia nije chalinze..mkuranga..kibaha dc. Hata tanga basi.
Njoo Iringa
Walimu eh njooeni.. basi pwani mafia nije chalinze..mkuranga..kibaha dc. Hata tanga basi.
Njoo Iringa, nije huko
 
Kama unatafuta wa kubadilishana naye, na unahitaji kihamia mpanda manispaa nawe upo Tabora manispaa, Mungu amejibu maombi yako.

Njoo 0765 944 412
 
Watu sijui uwapende vipi hata... jamani nipo siriazi na ninaandika hii kwa mara ya mwisho ukichezea bahati hii utakuja kunitafuta na usiipate tena

ANAETAKA KUJA RUANGWA MIMI NIPO TAYARI KWENDA POPOTE PALE (MSINGI) ILIMRADI TU ISIWE MIKOA YA MTWARA LINDI NA RUVUMA... JAPO IKIWA KASKAZINI MWA RELI YA KATI NITAFURAHI ZAIDI

Komaa uko uko kwa Majaliwa sijui Nyandagala [emoji23][emoji23] kuna vumbi uko balaa ata ukinipa 5M na nauli uko siji napajua vizuri sana kwa wamwela
 
Haya fanyeni fasta namuhamisha mke wangu mtarajiwa kutoka Lushoto aje tanga jiji,kibaha dc,kibaha town,moro town

Fanyeni fasts nishatoa mahali wasambaa wananichapia demu wangu.
 
Back
Top Bottom