Gai da seboga
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 515
- 1,015
Anaetaka kuja Rukwa wilaya ya Kalambo idara msingi nije Tanga Pwani na Kilimanjaro
0716701293
0716701293
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Idara gani chiefwakuja morogoro kilosa,nije simiyu chap in box
Nataka kutoka Sengerema Mwanza kuja Mbeya wilaya yoyote.namba 0753095184Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?
Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.
Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na JamiiForums ni kwa PM (Private Messages) ndani ya JF - kwa usalama wako na usiri zaidi.
MUHIMU: Ni vema kusema UPO wapi na ungependa KWENDA wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana nawe wapate urahisi wa kukutafuta ili kurahisisha mchakato.
Tunakutakieni utumishi mwema.
JamiiForums
Nataka kutoka Sengerema Mwanza kuja Mbeya wilaya yoyote.namba 0753095184 idara elimu msingi
Ngara ni wilaya moja ya ajabu Sana aiseee,wahangaza hawataki kabisa kurudi kwao yaan Kama upo ngara pambana kivingine ili utoke Ila kusubiria wa kubadirishana nae utasota Sana.Njoo ngara Mimi niende karagwe-kagera idara secondary
njoo manyara karibu na singidaAnatafutwa mwalimu Sekondari, wakubadilishana, atoke singida mjini aende kagera, karagwe, na wa karagwe aende Singida mjini.
0759 08 69 50.
Idara gan?Njoo dsm nije Tabora idara Secondary
Njoo Same karibu na Tangakwa anayehitaji kuja mbeya kyela mjini mimi nije pwani, morogoro, tanga na dar es salaam. idara sekondari masomo maths/ ICT
Ushampata huyo wa kuja pwani we uje karagwe auNatafuta Mwalimu wa kubadilishana nae Kutoka Karagwe Kuja Pwani. Yaani yeye aende Karagwe
BadoUshampata huyo wa kuja pwani we uje karagwe au
Ni NGARAUshampata huyo wa kuja pwani we uje karagwe au
Kibaha sehemu ganiUkishahama halmashauri inakubidi uchukue muda gani ndo uhame tena??
Njoo Kibaha Mji nije Ilemela Mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app