WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?

Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.

Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na JamiiForums ni kwa PM (Private Messages) ndani ya JF - kwa usalama wako na usiri zaidi.

MUHIMU: Ni vema kusema UPO wapi na ungependa KWENDA wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana nawe wapate urahisi wa kukutafuta ili kurahisisha mchakato.

Tunakutakieni utumishi mwema.

JamiiForums
Nataka kutoka Sengerema Mwanza kuja Mbeya wilaya yoyote.namba 0753095184
 
Anatafutwa mwalimu Sekondari, wakubadilishana, atoke singida mjini aende kagera, karagwe, na wa karagwe aende Singida mjini.
0759 08 69 50.
 
Njoo ngara Mimi niende karagwe-kagera idara secondary
Ngara ni wilaya moja ya ajabu Sana aiseee,wahangaza hawataki kabisa kurudi kwao yaan Kama upo ngara pambana kivingine ili utoke Ila kusubiria wa kubadirishana nae utasota Sana.

Hiyo wilaya haina utofauti na wilaya nyingi za kigoma ,yaan ni wilaya ngumu Sana kimaisha ,hivyo watu wa huko wakipangwa mikoa mingine na wakishajua utofaut uliopo na kwao Basi wanaona kabisa walikua gizani ,hivyo kuwambia warudi hawawez kukuelewa kabisa.

Anza kupambana juu kwa juu huko tamisemi Ila usiwe na mkono mfupi ndugu.
 
Back
Top Bottom