Nipo Iringanani anayetaka kuja Mwanza lakini awe ametoka Dar.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo Iringanani anayetaka kuja Mwanza lakini awe ametoka Dar.
Unatoka wapi mwalimu, na wataka kwenda wapi?Songea manispaa na njombe mjini
ndugu yangu yupo songea manispaa anatafuta mwl kutoka njombe mjiniUnatoka wapi mwalimu, na wataka kwenda wapi?
Kama idara ya msingi njoo inbox tuyajengeNJOO PWANI RUFIJI NIJE GEITA, KAHAMA AU BIHARAMLO
Mawasiliano nipigie 0629360516NJOO PWANI RUFIJI NIJE GEITA, KAHAMA AU BIHARAMLO
Kwa niaba njoo bunda mara yeye aje kaskazini popote
Njoo Serengeti mara 0757437615Wangoni, wayao, wanyassa, na wengine wote ambao ni waalimu na vituo vyenu vya kazi ni nje ya Ruvuma kwanini hamtaki kurudi kwenu? Mwenzenu yuko Songea mjini kabisa anatafuta mwalim yeyote kutoka kaskazini aende Songea ili mwalimu ahamie mkoa wowote kaskazini! Inaonekana mkitoka songea hamtaki kurudi kabisa! ,[emoji2][emoji2][emoji2] Ni karibu mwaka mzima sasa mwalim anatafutwa!