WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
Hivi kwa wale wasiobadilishana na mtu kuna orodha nyingine inakuja au ikoje hii?
 
Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?

Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.

Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na JamiiForums ni kwa PM (Private Messages) ndani ya JF - kwa usalama wako na usiri zaidi.

MUHIMU: Ni vema kusema UPO wapi na ungependa KWENDA wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana nawe wapate urahisi wa kukutafuta ili kurahisisha mchakato.

Tunakutakieni utumishi mwema.

JamiiForums
Njoo Nyasa nije Iringa manispaa au kilolo idara ya secondary.
 
Badilisha na mazingira dogo dah!
Njoo Nyasa nije Iringa manispaa au kilolo idara ya secondary.
 
Njoo KASULU MJINI. Nije Dar es salaam, Tanga,Morogoro au Pwani.Wilaya yeyote.
Mawasiliano. 0652180400
 
Njoo KASULU MJINI. Nije Dar es salaam, Tanga,Morogoro au Pwani.Wilaya yeyote. Idara ya Secondary.
Mawasiliano. 0652180400
 
Nimeanza kufuatilia huu uzi tokea 2019 lakini ajabu ni kwamba sijawahi pata mtu anataka kuja huku nilipo... Cha kushangaza zaidi mbali ya mimi kutokupata lakini hata kumuona tu huyo anayetaka kuja Ruangwa sijawahi!
Jipe moyo mkuu!! Mimi nilikuwa liwale - lindi na hili jukwaa lilinipatia mtu wa kuhama kwa kubafilishana,sasa niko kanda pendwa,endelea kupost one day yes!!
 
Nimeanza kufuatilia huu uzi tokea 2019 lakini ajabu ni kwamba sijawahi pata mtu anataka kuja huku nilipo... Cha kushangaza zaidi mbali ya mimi kutokupata lakini hata kumuona tu huyo anayetaka kuja Ruangwa sijawahi!
Kuna maeneo si rahisi kuhamia hata wenyeji hawapataki
We fanya TU uhamisho kimtindo ila sip kubadilishana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom