WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
Wangoni, wayao, wanyassa, na wengine wote ambao ni waalimu na vituo vyenu vya kazi ni nje ya Ruvuma kwanini hamtaki kurudi kwenu? Mwenzenu yuko Songea mjini kabisa anatafuta mwalim yeyote kutoka kaskazini aende Songea ili mwalimu ahamie mkoa wowote kaskazini! Inaonekana mkitoka songea hamtaki kurudi kabisa! ,[emoji2][emoji2][emoji2] Ni karibu mwaka mzima sasa mwalim anatafutwa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
NJOO KYERWA-KAGERA

NIJE DODOMA, MOROGORO AU IRINGA

MASOMO YA SAYANSI

IDARA YA ELMU-SEKONDARI.

KWA NIABA NJOO PM
 
Back
Top Bottom