WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
NJOO KASULU TOWN NIJE TABORA MANISPAA, MWANZA, DODOMA NA SINGIDA

Masomo: Physics and ICT

O652956466
 
Njoo KIGOMA MJINI nije SONGEA MANISPAA.,MOROGORO MJINI,KIBAHA,CHALINZE,IRINGA MJINI,MBEYA MJINI.
 
Njoo Kaliua DC nije Temeke/Kigamboni.
Ofa...kiwanja utapatiwa bure kabisa kipo Kaliua mjini (Kwaniaba) ni PM tuzungumze.
 
Nahitaji mwalimu wa kubadilishana nae aje Halmashauri ya Arusha dc nije;
1. Temeke
2. Ilala
3.Kigamboni
4.Ubungo
5.Kinondoni
6.Mkuranga
7.Bagamoyo
8.Chalinze
9.Kibaha
10.Kisarawe
Msingi
Njoo pm au 0717743549 tuma sms ya kawaida au whatsup.
 
Back
Top Bottom