WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
Njoo Songea Manispaa nije Morogoro wilaya yeyote
IDARA SEKONDARI
 
Mwenye taarifa anisaidie majina ya uhamisho kwa watumishi wa umma yanatoka lini kwa mwaka 2024
Mkuu kwann usiwe mpole kama ushakamilisha kumbuka Kuna wenzio ata jina halijaenda Tamisemi bado anahangaika na mifumo
 
Mkuu kwann usiwe mpole kama ushakamilisha kumbuka Kuna wenzio ata jina halijaenda Tamisemi bado anahangaika na mifumo
Km upole inatosha boss mana nimebadilishana na mtu tokea february2023 lkn mpk leo jina halijatoka kumbuka kwamba mtu akiomba uhamisho nikwamba anachangamoto
 
Km upole inatosha boss mana nimebadilishana na mtu tokea february2023 lkn mpk leo jina halijatoka kumbuka kwamba mtu akiomba uhamisho nikwamba anachangamoto
Sasa utafanya nn ndugu! La msingi ni kufuta subira tu! Na kama unaweza nenda mwenyewe Tamisemi dodoma
 
NJOO NZEGA NIJE MBEYA SONGWE IRINGA NJOMBE SONGEA HALMASHAUR YEYOTE IDARA SEKO MASOM YA SANAA 0629105649
 
Alofanikiwa kwenye mfumo sje hapa atoe ushuhuda,mi nataka nianze upya make ya barua mkononi wameamua kuweka kapuni
 
Wanaukumbi hivi safari hii mbona mkeka wa majina ya uhamisho hautoki?make naona watu wanapata vibali kimyakimya tu[emoji56][emoji56]
 
Mimi ni Mwalimu Wa secondary wa Biology, nipo kibaha district tubadilishane kituo nije Arusha Town council haps kwenda Dar dk 40 tu ni dm kama upo
 
Njoo mwanza sengerema_Buchosa nije Dodoma, Pwani Tanga (korogwe,mkinga,handeni na kilindi. Idara uwalimu shule yamsingi
Njoo Pm
 
Back
Top Bottom