WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
Mwl njoo tubadilishane vituo vya Kaz njoo mwanza buchosa nije mkoa wa pwan halmashauri yoyte
*Idara ya secondary masomo ya sayans
*Pesa ya usumbufu/allowance kiasi Cha 1.5M itatolewa
*Kama uko serious nicheki
 
Basi nipe taarifa ata kwa mwaka kesho au kesho kutwa, mana ata sishangai inawezekana ikawa hakuna coz tumekua wahanga wa kunyanyaswaaaa
Pazeni sauti,nyuzi zinafunguliwa mnajifanya hamuoni,sasa ngoja mnyooke
Mijitu imekazana eti njoo lindi nije mbeya wakati system imegoma
 
Njoo mbeya city nije dar wilaya ya kinondoni au kawe idara msingi
Njoo inbox Kama uko na nia
 
Nyie walimu uhamisho huko unaendaje maana naona njoo wapi niende wapi,idiot
 
Njoo Wilaya ya ukerewe mkoa wa Mwanza masomo ya Chemistry na Biology idara ya sekondari nije kati ya mikoa ya Arusha, manyara, Kilimanjaro na Tanga Wilaya yoyote njoo tuzngumze PM
 
Njoo Bukombe Geita,aje Bagamoyo,Kibaha/Mkuranga
Arts-secondary education
 
Humu mijitu imekaza njoo sijui wapi niende wapi,badala mpigie kelele matatizo yaliyopo mmekazana njoo wapi na wapi walimu kweli ni hopeless
 
Back
Top Bottom