Chizi Fureshi
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 1,718
- 461
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan wewe unaacha kupigania mshahara unahangaikia uhamisho.Kwan mtwara kunanini muache apige kaz huko,huenda atatumia vizuri kura yake mwaka 2015
Muache huyo mkeo huko huko mtwara awe chakula ya afisa elimu.
ajabu yake ni nini hapo?kuoa kabla ya kupata ajira au hiyo formula yako uliyoiweka hapo mwishoni.?
Fimbo ya mbali haiui nyoka!
Mkuu me ni mwl ngazi ya shahada niko DAR halimashauri ya kinondoni (Ukwamani sec.) KAWE. Je mke wako alishawahi kuishi mjini tangia amezaliwa? Maana kama hajawahi kuishi mjini wowote hawezi kuanzia DAR. Me nko tayari kubadilishana nae kama utampeleka semina fupi ya miezi 6 jinsi ya kuishi mjini ndo tuanze process za uhamisho ok.
Na mke wa mbali si wako. Ni chakula ya wenyewe. Narudia: Out of sight out of mind.
Mwambie wife wako ani pm nibadilishane naye kituo
amuache nke yake ntwara wamgegedee wandengereko.
Nipo moshi vijijini! Anilipe million 10 nipo tyari kubadilishana. 0765164434
how poor u are ina maana huko hakustahili kukaa watu?
mbna mna maneno ya kkatsha tamaa sana nyie watu.?
ntakupa lak tano km uko tayar!
Na mke wa mbali si wako. Ni chakula ya wenyewe. Narudia: Out of sight out of mind.
laki tano ctaki kama una milion 10 nitafute ata kesho 2naanza! Ovaa?? Cna utani huna milion 10 bac! Laki tano nitaenda kufanya biashara gani!
laki tano ctaki kama una milion 10 nitafute ata kesho 2naanza! Ovaa?? Cna utani huna milion 10 bac! Laki tano nitaenda kufanya biashara gani!
Kwani 10 million utafanyia biashara gani?. Tupe mchanganuo kwanza. Hili tujue kuwa wewe ni mwl. wa ukwee. . .