WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
Mwambie wife wako ani pm nibadilishane naye kituo
 
Mkuu me ni mwl ngazi ya shahada niko DAR halimashauri ya kinondoni (Ukwamani sec.) KAWE. Je mke wako alishawahi kuishi mjini tangia amezaliwa? Maana kama hajawahi kuishi mjini wowote hawezi kuanzia DAR. Me nko tayari kubadilishana nae kama utampeleka semina fupi ya miezi 6 jinsi ya kuishi mjini ndo tuanze process za uhamisho ok.
 
haujaeleweka bdo mkuu.
Mkuu me ni mwl ngazi ya shahada niko DAR halimashauri ya kinondoni (Ukwamani sec.) KAWE. Je mke wako alishawahi kuishi mjini tangia amezaliwa? Maana kama hajawahi kuishi mjini wowote hawezi kuanzia DAR. Me nko tayari kubadilishana nae kama utampeleka semina fupi ya miezi 6 jinsi ya kuishi mjini ndo tuanze process za uhamisho ok.
 
how poor u are ina maana huko hakustahili kukaa watu?

Kuna waziri aliwahi kujibu hatua aliyochukuliwa mtumishi mmoja kama adhabu, ikajibiwa bungeni mtumishi huyo alipewa adhabu akapelekwa Lindi (enzi hizo) acha wabunge wa kule waje juu
 
laki tano ctaki kama una milion 10 nitafute ata kesho 2naanza! Ovaa?? Cna utani huna milion 10 bac! Laki tano nitaenda kufanya biashara gani!

Kwani 10 million utafanyia biashara gani?. Tupe mchanganuo kwanza. Hili tujue kuwa wewe ni mwl. wa ukwee. . .
 
Mimi vitalia magogwa,mwalimu wa sekondari mhalule halmashauri ya songea,natafuta mwalimu wa kubadilishana naye toka wilaya ya kilosa morogoro . Wasiliana nami kwa namba 0753359278
 
Back
Top Bottom