Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Npo Chamwino nataka kwenda Iringa mjn jaman
Mie nakushangaa,kwanini usije hapa Tarime maana wewe uko jiji la mwanza lakini hadi sasa hujapokea mshahara wako wa Julai. Sisi hapa Tarime kila tarehe 26 tunacheka na ATM. Isitoshe chakula ni kingi na matunda kibao tena kwa bei ya shambani. Kama vipi sema tubadilishane maana huko ndo kwetu. Tuwasiliane 0767278100
leo hii nani asiyepatka dar ?? licha ya madhira/ karaha zake, kama huamini iulize hata serikali yako ya magamba imegoma kibisaaa hapa kuhama dar kwa zaid ya miaka 40 kwani mkoa wa dodoma nao ulituma maombi kama ya kwako kwa mkoa wa dar es salaam , etii oohhh... serikali na wizara zake zote naomba tubadilishaneni mimi dodoma nije dar nayie muje huku dodoma , thubutu yako nani kahamia dom mpaka leo , imebaki ntantarira mpomporira tu za kujaza hansard kuwa iko mbioni kuhamia mako mapya kumbe danganya toto tu , pole xana mwana sangara. endelea kula mapanki huko huko.je wewe ni mwalimu uko dar unataka kuja jiji la mwanza, tafadhali tuwasiliana
Niko HAI KILIMANJARO, Nataka kuhamia mwanza mjini.