Jerry001
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 585
- 1,299
Hapo usaili ni mwezi wa kumi. Waendelee kuvuta subiraWalimu wamepewa tena nafasi ya ku comfirm employer. Waitumie vizuri chance waliyopewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo usaili ni mwezi wa kumi. Waendelee kuvuta subiraWalimu wamepewa tena nafasi ya ku comfirm employer. Waitumie vizuri chance waliyopewa.
Lazima wafanye wa 10 mpaka nafasi 600 waombeHapo usaili ni mwezi wa kumi. Waendelee kuvuta subira
Unapoandika nafasi 11,000/= au 200,000/= unakuwa unamaanisha nini mkuu?Jamhuri ya Muungano wa Tanzania..
Nafasi zilizopo 11,000/=
Walioomba. 200,000/=
Uwiano Nafasi 1 inagombaniwa na Watu 18.
Interview ya Kwanza Written.
Washiriki 200,000
Nafasi zinazogombewa 44,000
Nafasi Moja kugombewa na Watu wanne.
Interview ya Oral.
Washiriki 44000
Nafasi zinazogombewa 11,000
Nafasi Moja kugombewa na Watu wanne.
Mikoa ya kimkakati Kwa àmbao watataka kupita kwenda round ya Oral NI:
1. Mtwara
2. Lindi
3. Ruvuma
4. Rukwa
5. Katavi
6. Kagera
7. Njombe.
8. Kigoma
Watakaoenda Oral Marks ndîo zitawabeba. Utachaguliwa Mkoa wowote.
Leo ndîo mwisho wa kuthibitisha mikoa àmbayo utakuwa comfortable nayo.
Unapoandika nafasi 11,000/= au 200,000/= unakuwa unamaanisha nini mkuu?
Nisaidie kumuelewa huyo mkuu mwenye id kama yako.
Jamaa amezingatia maokotoTofautisha hela na namba mwalimu.
Nisaidie kumuelewa huyo mkuu mwenye id kama yako.
Hapo wa kulaumiwa ni mzaziKuna jitu Eti leo Linanipigia Nilisaidie namna ya Ku Confirm mkoa,
Namuuliza umesahau? Anasema mtu wa Stationery ndio alinifungulia kila kitu, nilimsaidia ila nimemshangaa sana, mwambie tiktok na Snapchat sasa
Mwingine ka upload Vyeti, Profile picha na CV akajua ndio ashaomba kazi anasubiri interview.
Kuna mijitu ni mizembe sana, Binti wa Miaka 28 Una smartphone, Email yako hujui, Password ndio usiulize, Namba aliyotumia kufungulia anakuambia hajui aliyemfungulia alitumia ipi.
Hii nchi wasomi wapumbavu ni wengi mno,
Hao wote ni Degree
Wasikusumbue.Fanya yako muheshimiwa.Huyo NI Mimi utumishi wamenivuruga
Wasikusumbue.Fanya yako muheshimiwa.
Hata Kama Kuna uhaba tuangalia watakaofaulu interview pia wasipotoshe watoto wetu 😄😄😄Kwa huu uhaba wa walimu wa Mathematics na Physics hivi kweli si watawapitisha tuu walimu wa hayo masomo.Kwanza ni wachache sanaa na ni adimu na mahitaji yake ni makubwa sana...
Masomo ya Sanaa na biashara nadhani ndo huko kuna kazi
Akili yako fupi sana.Hata Kama Kuna uhaba tuangalia watakaofaulu interview pia wasipotoshe watoto wetu [emoji1][emoji1][emoji1]
Hata Kama Kuna uhaba tuangalia watakaofaulu interview pia wasipotoshe watoto wetuKwa huu uhaba wa walimu wa Mathematics na Physics hivi kweli si watawapitisha tuu walimu wa hayo masomo.Kwanza ni wachache sanaa na ni adimu na mahitaji yake ni makubwa sana...
Masomo ya Sanaa na biashara nadhani ndo huko kuna kazi
Hasira zote kisa mtihani wa UtumishiAkili yako fupi sana.
Kwa mtoto gani uliyenaye wa kusoma PHYSICS
Walimu wabovu wanachangia asilimia kubwa ya wanafunzi wabovu piaNdiyo majibu ya utafiti wako etii?..uliufanyia wapi hivi?
Jitahidi kuwa mwelewa basi