Walimu Laki Mbili kugombea Nafasi elfu Kumi na Moja. Wanaotakiwa Oral interview NI elfu arobaini na nne

Walimu Laki Mbili kugombea Nafasi elfu Kumi na Moja. Wanaotakiwa Oral interview NI elfu arobaini na nne

u

najidanganya!! Asipopatikana alioyefaulu usaili nafasi zitatangazwa tena!!

Ishu sio kutangaza tena ishu hawapo yaaan ukitangaza tena inamaana ni wale wale walokosa.. Uhaba ni mkubwa alafu masomo hayo walosomea ki uwalimu ni wachache sana.
Yaaan hata wakisema wanawahitaji wafike elfu moja hawatakuwepo pia kabla hata hawajaomba
 
Mkoa wa kimkakati akuna mana majibu ya written interview, watayaunganisha ya nchi nzima then watakata kwenye pass mark wanayoona kuwa watakuwa wamepata idadi kadhaa ya watakaoenda nao oral.
pasi na kujari mkoa Fulani wamepita wengi mkoa fulan wachache hizi sio ajira za afisa utendaji mitaa Kila halmashauri na matokeo yake.
Kwanini wasifanye hivyo Sasa.. Maana unaweza Kuta mkoa mzima umefail
 
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania..

Nafasi zilizopo 11,000/=
Walioomba. 200,000/=
Uwiano Nafasi 1 inagombaniwa na Watu 18.

Interview ya Kwanza Written.
Washiriki 200,000
Nafasi zinazogombewa 44,000
Nafasi Moja kugombewa na Watu wanne.

Interview ya Oral.
Washiriki 44000
Nafasi zinazogombewa 11,000
Nafasi Moja kugombewa na Watu wanne.

Mikoa ya kimkakati Kwa àmbao watataka kupita kwenda round ya Oral NI:

1. Mtwara
2. Lindi
3. Ruvuma
4. Rukwa
5. Katavi
6. Kagera
7. Njombe.
8. Kigoma

Watakaoenda Oral Marks ndîo zitawabeba. Utachaguliwa Mkoa wowote.

Leo ndîo mwisho wa kuthibitisha mikoa àmbayo utakuwa comfortable nayo.
Ualimu ni laana
Gg Mpwayungu Village
 
Kwani wewe mwalimu hizi takwimu unazitoa wapi? Yaani kila siku unakuja na mapya kuhusu haya mambo ya saili za kada ya ualimu na afya!

Unafaidika nini kila wakati kutaja mikoa ambayo ina watu wengi walioomba wakati huna takwimu sahihi? Au unataka watu wabadilishe mikoa ili hiyo mikoa unayotaja ubaki mwenyewe? Hilo halipo subiri ugombanie goli na wenzio!Unashangaza sana!

Acha kuwapa taharuki watu,huna hata chembe ya taarifa.
Kimeumana huku. Sasa hivi kila mtu ni mtakwimu, bila shaka ni mwalimu wa Economics au Georgraphy huyo.
 
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania..

Nafasi zilizopo 11,000/=
Walioomba. 200,000/=
Uwiano Nafasi 1 inagombaniwa na Watu 18.

Interview ya Kwanza Written.
Washiriki 200,000
Nafasi zinazogombewa 44,000
Nafasi Moja kugombewa na Watu wanne.

Interview ya Oral.
Washiriki 44000
Nafasi zinazogombewa 11,000
Nafasi Moja kugombewa na Watu wanne.

Mikoa ya kimkakati Kwa àmbao watataka kupita kwenda round ya Oral NI:

1. Mtwara
2. Lindi
3. Ruvuma
4. Rukwa
5. Katavi
6. Kagera
7. Njombe.
8. Kigoma

Watakaoenda Oral Marks ndîo zitawabeba. Utachaguliwa Mkoa wowote.

Leo ndîo mwisho wa kuthibitisha mikoa àmbayo utakuwa comfortable nayo.
Nafasi moja kugombaniwa na watu 18 mbona kawaida sana umewahi kujiuliza sekta binafsi, inapotokea kampuni imetangaza nafasi moja ya Meneja inaombwa ama kugombaniwa na watu wangapi?
 
Kuna jitu Eti leo Linanipigia Nilisaidie namna ya Ku Confirm mkoa,
Namuuliza umesahau? Anasema mtu wa Stationery ndio alinifungulia kila kitu, nilimsaidia ila nimemshangaa sana, mwambie tiktok na Snapchat sasa

Mwingine ka upload Vyeti, Profile picha na CV akajua ndio ashaomba kazi anasubiri interview.

Kuna mijitu ni mizembe sana, Binti wa Miaka 28 Una smartphone, Email yako hujui, Password ndio usiulize, Namba aliyotumia kufungulia anakuambia hajui aliyemfungulia alitumia ipi.

Hii nchi wasomi wapumbavu ni wengi mno,
Hao wote ni Degree
NI vywasi
 
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania..

Nafasi zilizopo 11,000/=
Walioomba. 200,000/=
Uwiano Nafasi 1 inagombaniwa na Watu 18.

Interview ya Kwanza Written.
Washiriki 200,000
Nafasi zinazogombewa 44,000
Nafasi Moja kugombewa na Watu wanne.

Interview ya Oral.
Washiriki 44000
Nafasi zinazogombewa 11,000
Nafasi Moja kugombewa na Watu wanne.

Mikoa ya kimkakati Kwa àmbao watataka kupita kwenda round ya Oral NI:

1. Mtwara
2. Lindi
3. Ruvuma
4. Rukwa
5. Katavi
6. Kagera
7. Njombe.
8. Kigoma

Watakaoenda Oral Marks ndîo zitawabeba. Utachaguliwa Mkoa wowote.

Leo ndîo mwisho wa kuthibitisha mikoa àmbayo utakuwa comfortable nayo.
Ndivyo ilivyo kwenye fani zingine pia,si mlikuwa mnawacheka? Hakuna Mwalimu kanjania tena
 
Mbuzi wewe.. Lipa mishahara na mazngira mazuri thn urud hapa, unamlipa mtu laki 3 ushuzi hata kama mimi nikihudhuria class kwa wiki mara 3.
Ulipwe zaidi ya hapo Kwa Elimu Yako ya cheti? Yaani umepata div III na kacheti Kako unataka ulipwe bei gani? Si ubakie mtaani uone moto
 
Bora uwaeleze wajue mapema kuwa kuna viwangi vya ufaulu maana utumishi hawajali mmekuja wangapi kwenye kituo bali wanajali ufaulu tuu..asichojua kuwa hata kituo chote cha usaili mnaweza feli wote….! Halafu swala la mkoa ni mapendekezo yako tuu na hii si sandakalawe bali ni kufaulu kwanza kwa hiyo atakaye faulu ajiandae kwenda popote!
Yah wajue hayo
 
Daaa kazi kweli na ualimu sasa ivi umeshakuwa ishu
Na unatakiwa uwe ishu zaidi ,wanapenda huko wawe wale wenye div 1 au 2.

Div 1 iwe points 7-14 ,Kuanzia 15-20 iwe II sio kama ilivyo Sasa ma points meengi..

Walimu wanatakiwa wale vipanga tuu ndipo Sasa serikali ibadilishe scale za malipo Yao.
 
Na unatakiwa uwe ishu zaidi ,wanapenda huko wawe wale wenye div 1 au 2.

Div 1 iwe points 7-14 ,Kuanzia 15-20 iwe II sio kama ilivyo Sasa ma points meengi..

Walimu wanatakiwa wale vipanga tuu ndipo Sasa serikali ibadilishe scale za malipo Yao.
Vipanga bongo hii? Labda pasiwe na connection. Hizo div zenyewe tu ni za kimkakati...
 
Na unatakiwa uwe ishu zaidi ,wanapenda huko wawe wale wenye div 1 au 2.

Div 1 iwe points 7-14 ,Kuanzia 15-20 iwe II sio kama ilivyo Sasa ma points meengi..

Walimu wanatakiwa wale vipanga tuu ndipo Sasa serikali ibadilishe scale za malipo Yao.
Scale ya malipo kwa watumishi wa umma haina tofauti kulingana na madaraja yao ya kazi na viwango vyao vya elimu.
 
Hapo watakao ajiriwa ni wale watakao kubari kusaidia ccm kuiba kura. Yaani wale wenye kadi za ccm zote ndio watakao ajiriwa. Dawa ni kuondowa shetani ccm ili tujenge nchi kwenye misingi ya haki.
Walimu wamepewa tena nafasi ya ku comfirm employer. Waitumie vizuri chance waliyopewa.
 
Back
Top Bottom