TOHATO
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 1,336
- 4,653
u
najidanganya!! Asipopatikana alioyefaulu usaili nafasi zitatangazwa tena!!
Ishu sio kutangaza tena ishu hawapo yaaan ukitangaza tena inamaana ni wale wale walokosa.. Uhaba ni mkubwa alafu masomo hayo walosomea ki uwalimu ni wachache sana.
Yaaan hata wakisema wanawahitaji wafike elfu moja hawatakuwepo pia kabla hata hawajaomba