Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Ndoakili zenu walimu, swali lako ni nje ya madaUmeshakuwa mwanamke Ili niombe connection?
Nimekufuru nini, MIMI nimeongea kuhusu kazi kwamba kuokota makopo Kwa upande wako ni bora nanitakuwa huru ila sio kuwa mwalimuAcha kukufuru,hivi we huchoki kuawaandama waalimu?
Si ulisema mwenyew unataman kua MWANAMKE..ukiwa tayar niakufanyia connection ya mwanaumwe mwenye maisha safi ILI AWE ANAKUNUNULIA CHIPSI NA KIDALI NA MACHO MATATU HUYAPATE.Ndoakili zenu walimu, swali lako ni nje ya mada
Sababu za kimasikin kabisa, unawaza kuumwa tu kwani BIMA ni kwaajili ya mtumishi wa umma tuMwalimu akiugua mwaka muamala unasoma, tofauti na hao viguu na njiaa
Ni ngumu kupambana na ukweli! Sema ukweli unauma.Walimu mnamshindwaje mtu mmoja tu
Sina elimu ya kipumbavu ambayo mwalimu anayoTukianzia na ww vp unaelimu ambayo mwalimu anayo na kama huna kaa kimya...?
Mimi nalaumu walimu, hakuna wakuwakomboa zaidi ya kujikomboa wenyeweNi ngumu kupambana na ukweli! Sema ukweli unauma.
By the way, lawama hizi zingeiendea mamlaka ya walimu na siyo walimu.
Una watoto? Kama huna unampango wa kuja kuwa nao? Una ndugu wanaosoma? Kawaachishe na shule wanao ili wasichangamane na watu usiowapendaI swear to God nitampa heshima za kutosha muokota makopo kwenye dampo, muuza maji kwenye foleni za magari ila sio walimu. Nitawachukia maisha yangu yote kwasababu ya akili zao zilivyo chini ya uwezo. wanaamrishwa tu, wanafedheheshwa, wanaburutwa, wanapigwa viboko na Wakuu wa Wilaya, wanachangishwa mpaka Mbio za Mwenge nayanatoa.
Walimu jitambueni, haiwezekani mkawa mnachangishwa Mbio za Mwenge huku serikali inatoa mabilioni kusaidia watu wa Uturuki na Malawi. Hivi akili zenu zipoje jamani, kwani mlipandikiziwa nini?
Sitaki kabisa mazoea na nyinyi, na kuanzia sasa naingia kwenye jukwaa la education kuna uzi wa walimu kubadilishana id's zote za kule nablock kwenye ukrasa wangu, nablock walimu wote kila mtandao mpaka Whatsapp, yaani applications zote nawablock hawa watu. Ni waoga mpaka napata mashaka na elimu yao.
Sahh mkuu siku akitaka kuolewa atoe mwaliko mim kama mim nitampelekew bwana ake mpwayungu mafuta ya Nazi chupa 20 ili mpwayungu nayey ang'ae kama wanawake WENGINE wanavyong'aaBado hujaolewa tu?
Nimesema uhuru ni kila kitu, walimu hawako huru nenda shuleni uone wanavyoburuzwa na wakuu wao wa shuleKwamba muokota makopo ana uhakika wa bima ya watu 6?
Kwamba ikitokea amekufa ana uhakika wa mafao?
Kwamba muokota makopo ana uhakika wa kazi miaka 20?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app