Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Uko sahihi, walimu ndiyo kundi pekee hapa Tanzania linalotawaliwa kwa utaratibu wa kikoloni, yaani bado lipo ktk kunyonywa.

Ni swala la kawaida kabisa walimu wa halmashauri fulani kupanda cheo na nyingine wasipande hata kama wameajiriwa mwaka mmoja.

Walimu hii haiwashitui na hata wakishituka hawana la kufanya.
 
Ndoakili zenu walimu, swali lako ni nje ya mada
Si ulisema mwenyew unataman kua MWANAMKE..ukiwa tayar niakufanyia connection ya mwanaumwe mwenye maisha safi ILI AWE ANAKUNUNULIA CHIPSI NA KIDALI NA MACHO MATATU HUYAPATE.

GENERALLY WE JAMAA NI JAU ITAKUA UNAMATATIZO YA HORMONE PIA NA SAIKOLOJIA NENDA KAMUONE DAKTAR
 
I swear to God nitampa heshima za kutosha muokota makopo kwenye dampo, muuza maji kwenye foleni za magari ila sio walimu. Nitawachukia maisha yangu yote kwasababu ya akili zao zilivyo chini ya uwezo. wanaamrishwa tu, wanafedheheshwa, wanaburutwa, wanapigwa viboko na Wakuu wa Wilaya, wanachangishwa mpaka Mbio za Mwenge nayanatoa.

Walimu jitambueni, haiwezekani mkawa mnachangishwa Mbio za Mwenge huku serikali inatoa mabilioni kusaidia watu wa Uturuki na Malawi. Hivi akili zenu zipoje jamani, kwani mlipandikiziwa nini?

Sitaki kabisa mazoea na nyinyi, na kuanzia sasa naingia kwenye jukwaa la education kuna uzi wa walimu kubadilishana id's zote za kule nablock kwenye ukrasa wangu, nablock walimu wote kila mtandao mpaka Whatsapp, yaani applications zote nawablock hawa watu. Ni waoga mpaka napata mashaka na elimu yao.
Una watoto? Kama huna unampango wa kuja kuwa nao? Una ndugu wanaosoma? Kawaachishe na shule wanao ili wasichangamane na watu usiowapenda
 
kachome na vyeti vyako vyooote ili kuonyesha unawachukia kweli maana hata walichokufundisha hakikusaidii
 
Back
Top Bottom