Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Siongei kwa kukuoppose hoja yako..ni kweli ni nadra sana mwalimu kua na hela kiasi hcho
Ila mm nina mfano hai Baba mkubwa wangu alikua ni mwalimu amestaafu mwaka juzi...asingeugua kipindi flani angekua tajiri haswaaa
Alikua ana hela sana sjui unaelewa ninavyosema alikua ana hela na hajawah kuacha kazi yake ya ualimu mpaka anastaafu ..
 
Walimu wanafikili 200 million ni makalio
Kwa maisha na uchumi wa Tanzania, 200 million tena cash ni hela nyingi sana na wengi hawana, sio walimu, sio engineer, doctor , wahasibu na unao wajua.. wala wana sheria.. na pia ukae ukijua kuna walimu wapo wana cash zaidi ya 400 million na kuna engineer wenye PhD zao hawana hata 5 million cash kwenye account zao..
 
Hao walimu wategeaji wapo,na wanaojielewa wapo

Mbona waliofanikiwa hamuwasemi!?
Ndio Mpwayungu anadeal na hao wasiojielewa....Ila Kwa huu mtazamo wake atafika mbali.
Yani hii Kada ya ualimu ina watu ambao unaweza kujiuliza wanafikiria Kwa kutumia kiungo gani, unalikuta libaba lizima, mwili mkubwa Ila lioga lioga...halijui haki zake, Kazi majungu tu.
Mdogo wangu Mpwayungu usikate tamaa, Ile GPA yako ya 3.6 apply hata TEKU, muhimu umalize chuo tu upate cheti, au piga hata OPEN, na ukimaliza unga masters hapo hapo open.....ukipata uafisa elimu wanyoooshe hawa watu.
I can see your spirit utafika mbali.
 
Mkuu huyo ni mwanasheria mwambie akuoneshe zake
 
KWANINI USALITIWE NA MWENZA WAKO KISA HUMRIDHISHI, unawahi kufika kileleni kabla yake, unashndwa unashindwa kuendelea awamu ya pili, dhakari yako inasimama legelege, kukosa hamu ya tendo, kutosimamisha dhakari. Ni lazima atakusaliti tu.Tupigie au whatsApp 0658283250 X POWER MAN, ni dawa mujarab kwa ajili ya kumaliza matatizo hayo

PIA TUNA TIBU MAGONJWA YAFUATAYO
[emoji637] Vidonda vya tumbo (ulcers)
[emoji638] Bawasiri ya ndani na nje
[emoji639] Tezi dume
[emoji640] Fungus na UTI sugu
[emoji641] Ngiri kwa wanaume (korodani kuvimba)
[emoji642]Miguu kuwaka moto na kupasua.
[emoji643]Kuondoa chunusi na makovu Mwilini
[emoji644]Heshima ya ndoa (Nguvu za kiume)
[emoji645]Kupunguza uzito na kuondoa Kitambi
[emoji647]Dawa ya jino bila kung'oa.
Pia tunatoa huduma ya counselling (Ushauri Wa kiafya)
Kwa msaada wa haraka zaid piga 0658283250

Kuchat na Doctor bonyeza link

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…