maneka
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 825
- 1,182
Report ya Mwakyembe inasemekana kuna mzungu ameoa masoga, huenda naye kapewa hizo 2milion ndiyo anajiona kawinHana hata mil.1 huyo, labda kama amepewa na basha Kwa kutoa alichonacho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Report ya Mwakyembe inasemekana kuna mzungu ameoa masoga, huenda naye kapewa hizo 2milion ndiyo anajiona kawinHana hata mil.1 huyo, labda kama amepewa na basha Kwa kutoa alichonacho
Mimi nauliza mwalimu sijauliza wengine zaidi ya walimu Fata swali, una ulizwa unauza vitumbua wewe unajibu maandaziHata lecture wa udsm ni ngumu kumkuta na mil200 na uo ndo ukweli.
Watu wenye mikakati mikubwa ndo wanamiliki hizo pesa
Walimu wanafikili 200 million ni makalio
Asante sanaUkweli utakuweka huru pole sana@To yeye
Walimu hawawez hizi kazi ni sisi tu wenye ubavuKitendo tuu Cha kuwa na million kumi bank miezi mitatu inatakiwa iwe na misuli
Wewe unaye tamani kuuza makalio ndiyo mjanja! Chizi kabisa.Walimu wanafikili 200 million ni makalio
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Asante sana
Na Mimi nakuuliza ndugu the learned advocate nionyeshe za kwako wewe iwe ndo rejeaMimi nauliza mwalimu sijauliza wengine zaidi ya walimu Fata swali, una ulizwa unauza vitumbua wewe unajibu maandazi
AhaahahhahAsante sana
Baada ya kuwa shoga umepata 10milionWalimu hawawez hizi kazi ni sisi tu wenye ubavu
Kwa maisha na uchumi wa Tanzania, 200 million tena cash ni hela nyingi sana na wengi hawana, sio walimu, sio engineer, doctor , wahasibu na unao wajua.. wala wana sheria.. na pia ukae ukijua kuna walimu wapo wana cash zaidi ya 400 million na kuna engineer wenye PhD zao hawana hata 5 million cash kwenye account zao..Walimu wanafikili 200 million ni makalio
We usiulize mpelekee moto tuKuna sehemu Hilo swali lako linalenga ajibu mwalimu peke yake?
Ndio Mpwayungu anadeal na hao wasiojielewa....Ila Kwa huu mtazamo wake atafika mbali.Hao walimu wategeaji wapo,na wanaojielewa wapo
Mbona waliofanikiwa hamuwasemi!?
Mkuu huyo ni mwanasheria mwambie akuoneshe zakeKwa maisha na uchumi wa Tanzania, 200 million tena cash ni hela nyingi sana na wengi hawana, sio walimu, sio engineer, doctor , wahasibu na unao wajua.. wala wana sheria.. na pia ukae ukijua kuna walimu wapo wana cash zaidi ya 400 million na kuna engineer wenye PhD zao hawana hata 5 million cash kwenye account zao..
Nasikia uliliwa ndogo na mwalimu wako sorry najua uchungu wako ila kuzaa huwezi sitabiashana na weweUsilopoke tu, ivi unajua senior officer tu wa TPDC analipwa bei Gani?
wa.me