Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Mimi sio mwalimu, ila walimu wengi ni wanafiki nimekaa nao
 
Basi unampotosha

Huwezi endesha gari ukiwa ndani

Mwabie aachane na ualimu ndo ayaseme haya

Usiwaze huyu idol wako Kuna siku si nyingi utamkataa humu

Tutakulete jina lake halisi,alizaliwa wapi,kasoma wapi,kasoma nini na anafnya nini

Utashangaa utakpaoona anachokiubili humu sicho anachokiishi

S
 
Matako yake, hana akili za kuwa mwanasheria .. hakuna mwanasheria mwenye moto kama wake..
Acha dharau kiongozi, usiwe na mihemko ya kumchukulia mtu simpo na Wala hata sihitaji ujue mimi ni mwanasheria au daktari au mwalimu au askali au mkulima ila tu nakuomba heshimu watu hata kama hamjuani, kutokumkashifu mtu haikupunguzii chochote kile
 
Acha dharau kiongozi, usiwe na mihemko ya kumchukulia mtu simpo na Wala hata sihitaji ujue mimi ni mwanasheria au daktari au mwalimu au askali au mkulima ila tu nakuomba heshimu watu hata kama hamjuani, kutokumkashifu mtu haikupunguzii chochote kile
Kama unataka heshima kwanini usiwape kwanza walimu!?
 
Acha dharau kiongozi, usiwe na mihemko ya kumchukulia mtu simpo na Wala hata sihitaji ujue mimi ni mwanasheria au daktari au mwalimu au askali au mkulima ila tu nakuomba heshimu watu hata kama hamjuani, kutokumkashifu mtu haikupunguzii chochote kile
Acha hizo imagination.. pambana na ukubaliane na hapo ulipo.. pesa inapatikana popote dogo, hata ukiwa deiwaka
 
Umeanzisha vita ya nyembe halafu unakimbilia panga,,
Acha dharau kiongozi, usiwe na mihemko ya kumchukulia mtu simpo na Wala hata sihitaji ujue mimi ni mwanasheria au daktari au mwalimu au askali au mkulima ila tu nakuomba heshimu watu hata kama hamjuani, kutokumkashifu mtu haikupunguzii chochote kile
 
Mimi sio mwalimu, ila walimu wengi ni wanafiki nimekaa nao
Usijari

Uzuri hints za wewe ni nani ushazitoa humu

Badala ya kubishana na wewe na kukupa wrong attention ni Bora tuchimbe Kila kitu chako hapa jf na huko nje Ili Tuone unachokihubiri humu ndani ndicho unachokiishi huko nje


Usikimbillie kwa mods


Kipimo unachowapimia walimu ndicho kipimo tutakachokupimia

Waambie followers wako wajiandae kisaikolojia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…