Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Umeshapata Basha kwenye Ile thread sasa umekuja kwa Kasi ya mwanga kuwasiginia kunguni walimu
 
Kama hiyo 500k ni nyingi, mbona mnamaisha magumu sana...
Mikopo, bond, kuombaomba mnaongoza nyie walimu..
Halafu kazi gani hyo kila siku matukio ya kutatanisha yanafanywa na walimu?..

Mnapoambiwa ukweli msikasirike na mkumbuke haya tunayoandika mama Samia anasoma, sisi tunawasaidia nyie mfikiliwe halafu wewe unapotosha wenzio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…