Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Hakuna mwalimu huyu Kwa msimamo wangu na nalijua hili kwakua najua akili zao za kujiongeza kibiashara ni zero. Ukiona mwalimu ana million mia tu ujue huyo kastafu juzi na baada ya wiki mbili utakuta kanunua pikipiki na anaanza ujenzi wa nyumba ya kimasikini isiyozidi million ishirini.

Walimu hawa sijui walimkosea nini mwenyezi Mungu. Jana Kuna mwalimu kalawiti mtoto wa darasa la tatu chooni, yani unafanya mapenzi kwenye vyoooo akili za walimu hizi dah.

Hiyo chuki yako dhidi ya walimu haikusaidii chochote. Kama kuna mwalimu kakuzidi kete kwa demu wako, isiwe sababu ya kuwachukia walimu wote!!!
 
Sasa agriculture nayo ni taaluma ya mtu kujivunia?

Ndo maana aliona ni bora kwenda ualimu maana hiyo kozi utaajiriwa afisa kilimo huko vijijini mshahara laki tatu na sitini.
Dah ww ni rofa na kiazi kabisa, unaelewa kichwa cha habari kinasemaje?
 
Wapi katukana?

Onesha tusi hapo kwenye hoja ya mleta mada.

Vitendo vya ulawiti vimekithiri kwa walimu sijui ndo imani za kishirikina wanaamini ili wapandishwe madaraja kimazabe walau wapate kamshahara kingi kingi kidogo.

Watu wanaoaminiwa kuwa walezi wa watoto wawapo mashuleni badala yake wamekuwa walawiti.
Pole sana kiongozi kwa kulawitiwa na walimu wako,kitendo hicho ni kibaya sana,huyo mwalimu aliekulawiti afunguliwe mashitaka.
 
Huyu ni jobless anatolea stress humu

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Ni uzembe mkubwa anafanya mficha uchi azai humu ndio pa kunyenyekea wadau wampe connection aondokane na ujobless apunguze makasiliko asaidiwe humu kuna watu bhana wanaweza kufanya jambo juu yake kunawamiliki wa mashule humu wanaweza wakampa hata kibarua cha kuwa matron 😂
 
Daaaa we we we we we Mpwayungu yani kumbe hata maarifa kichwani ni kiduchu. Hata neno "competition" hujui unaandika "compitition". Angalia hapo kwenye post uliyowahi kupost hapo juu.

Nilidhani humu jf wote waliyomo ni Great thinkers kumbe hakuna kitu wengine ni vibonde waliokimbia shule km huyu Mpwayungu. Ndiyo maana mtu unaweza kuongea vizuri lakini akaja mtu themosi inapooza km Mpwayungu and the like na kuanza ku-argue nonsense. We Mpwayungu nenda shule we bado sana kwa critical thinkers. Waone Walimu km mkombozi wako utafaulu mitihani yako vinginevyo utafeli darasani na maisha kwa chuki zako kwa Walimu.
 
Nahisi ungetafuta maudhui mengine ya kuendeleza siku JF. Hili la kutukana na kudhihaki walimu lishakinaisha sasa.

Tangu ilipokuwa inachekesha ukiwaandika walimu, ikaja kukera sasa imefikia ku bore.

Hamia kwa kada nyingine sasa chief.
Hii kwangu nime Note
 
ni nani asiyejua kuwa katika fani zote fani ya ualimu ni fani iliyotawaliwa na wajinga.

Yani miji-alimu ina maisha magumu yatokanayo na udumavu wa akili,fikra mbovu na tabia mbaya (kulawiti watoto wetu)

NAHESHIMU FANI YA UALIMU KWA NCHI ZINGINE SIYO HII.

Mijialimu inaishi maisha magumu bila posho bila bonus wala nyongeza za mara kwa mara za mishahara ila kwenye chaguzi inarubuniwa kwa tisheti na kofia na vilaki laki


BADILIKENI WALIMU WA DANGANYIKA
 
ni nani asiyejua kuwa katika fani zote fani ya ualimu ni fani iliyotawaliwa na wajinga.

Yani miji-alimu ina maisha magumu yatokanayo na udumavu wa akili,fikra mbovu na tabia mbaya (kulawiti watoto wetu)

NAHESHIMU FANI YA UALIMU KWA NCHI ZINGINE SIYO HII.

Mijialimu inaishi maisha magumu bila posho bila bonus wala nyongeza za mara kwa mara za mishahara ila kwenye chaguzi inarubuniwa kwa tisheti na kofia na vilaki laki


BADILIKENI WALIMU WA DANGANYIKA
Mkuu umemaliza kila kitu mjomba [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mkuu umemaliza kila kitu mjomba [emoji120][emoji120][emoji120]

lazima tuiiambie miialimu inayojikuta kuwa eti “bila mwalimu usingekuwa hapo”.

ntaheshimu miaalimu ya tanzania pale itakapocha kutumika na wanasiasa na pia pale ambapo miialimu hiyo itajitambua na kuacha kulialia shida kwenye jamii.


YANI MWALIMU UMENIFUNDISHA MIAKA 15 ILIYOPITA BADO UNA BAISKELi WAKATI MIMI NINA HARRIER NEW MODEL


Stupid!!!
 
lazima tuiiambie miialimu inayojikuta kuwa eti “bila mwalimu usingekuwa hapo”.

ntaheshimu miaalimu ya tanzania pale itakapocha kutumika na wanasiasa na pia pale ambapo miialimu hiyo itajitambua na kuacha kulialia shida kwenye jamii.


YANI MWALIMU UMENIFUNDISHA MIAKA 15 ILIYOPITA BADO UNA BAISKELi WAKATI MIMI NINA HARRIER NEW MODEL


Stupid!!!
Sibora baiskel, wengi wao wanaukanyaga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom