Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #1,281
Ana mawazo msamehe hata hivyo dislike ni uhuru wa maoni binaMkuu huyu shangazi Evelyn Salt ni mwalimu aseeeee mwambie apunguze kunipa dislikes inaonekana hata hela ya vicoba hana
Ban haitanifanya kuacha kuwatetea walimuUkifika jumatano hujala ban nyingine basi endelea kula iyo nyama
Aibu naona mm kwenye hii video
Safari Hii Walimu Maji Wataita Mmaaamaji yamerejea majiiiiiiiii. majiiiiiiiiiiiiiiii
Nakazia Huyu Ndiyo Haumi Maneno Anasema Wazi WaziHuyu Mpwayungu Village mtakuja tu kumuelewa siku moja.
Leta manenoNimeona madam Mungu akutunze huenda nyinyi ndommefanya nifunguliwe mapema iwezekanavyo, together we can
Uza ulivyokopa unifuate.Kwahiyo wewe wasemaje tatizo ni waalimu wenyewe au serikali? Unatushauri je sisi waalimu.
The king of teachers is backNitakuwa wa mwisho kuamini kazi ya ualimu inaweza kumpa mtu maisha bora ya milo mitatu na usafiri binafsi wa uhakika. Imagine mpaka Mei mosi inafika hakuna mwalimu au kundi lolote lililosimama kutetea maslahi Yao
Inaumiza sana kuona mamluki wenye mavazi ya cwt kuvaa mabango ya kinafiki kumsifu Rais eti Asante Kwa vishikwambi 2025 umepita, who says? Walimu ivi kishikwambi ndokifanye umpe Rais Kura 2025??
Kuna baadhi ya walimu hamko serious mimi ningetegemea siku ya Mei mosi mfanye peaceful demonstration lakini hola mnaenda kuimba manyimbo ya kizee ya kumsifu Rais tu huku mnalala njaa mnanuka majasho ya shida madeni tupu
Ngoja Nile nyama narudi View attachment 2621499
Haa Anawatoa Jasho Waajiriwa Mpaka WanechanganyikiwaMpwayunguuu again🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👋👋
Wakirudi Wanakuta Chuma Hicho Kinatema Che CheWapo msibani kwanza
Kirikuumaji yamerejea majiiiiiiiii. majiiiiiiiiiiiiiiii
Chuma kimerudi on air[emoji91][emoji91][emoji91]
KabisaMpwayungu the legends
Kabisa Kiongozi lakin anahoja ya msingi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👋Haa Anawatoa Jasho Waajiriwa Mpaka Wanechanyikiwa