Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu ndio njia iliyotumika kufuta ujinga kwa kila mmoja wetu humu.
Tuwaombee tu maana wao peke yao hawawezi maana gap ni kubwa mno wakisema waanze kupambana watapotea! Upande mwingine wanaamini kuwa ni kwa hisani tu waliipata hiyo kazi ndio maana sio rahisi kuona stahiki zao. Kitu ambacho hujui ni kwamba walimu ni watu wa shukrani sana hata kwa kidogo wanachopata ndio maana umeona hapo wawakilishi wao CWT wameshukuru kwa Tablet kwa niaba yao!
Maisha yao wameridhika nayo kwa sehemu kubwa tu
 
Walimu tunajenga na tunaweka kununua vigari hivi vya bei rahisi,au unazungumzia walimu wa miaka ya 1990
Sema kunawalimu wale wazamani ambao wao huwaambii kitu Kwa kuvaa mabwangwa na pigo zao Fulani hivi atakama wanapesa na sio walimu tu ata watumishi wengi wenye maadil ya miaka ya themaninizi ndo pigo zao
 
Screenshot_20230514-191229~2.png
 
Pambania maisha Yako Mkuu walimu wanajua wasurvive vipi kwenye bahari yenye tope Shida Yako ukosoaji wako ni Wa kudharau na si wa mrengo wa kusaidia una Kebehi nyingi mno Mpwayungu natamani nijue kazi Yako...wewe unakula ngapi per months?
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini kazi ya ualimu inaweza kumpa mtu maisha bora ya milo mitatu na usafiri binafsi wa uhakika. Imagine mpaka Mei mosi inafika hakuna mwalimu au kundi lolote lililosimama kutetea maslahi Yao

Inaumiza sana kuona mamluki wenye mavazi ya cwt kuvaa mabango ya kinafiki kumsifu Rais eti Asante Kwa vishikwambi 2025 umepita, who says? Walimu ivi kishikwambi ndokifanye umpe Rais Kura 2025??

Kuna baadhi ya walimu hamko serious mimi ningetegemea siku ya Mei mosi mfanye peaceful demonstration lakini hola mnaenda kuimba manyimbo ya kizee ya kumsifu Rais tu huku mnalala njaa mnanuka majasho ya shida madeni tupu

Ngoja Nile nyama narudi View attachment 2621499
Mwamba ameamka tena....
 
Back
Top Bottom