Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #1,321
Kumbe vya bei rahisiWalimu tunajenga na tunaweka kununua vigari hivi vya bei rahisi,au unazungumzia walimu wa miaka ya 1990
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe vya bei rahisiWalimu tunajenga na tunaweka kununua vigari hivi vya bei rahisi,au unazungumzia walimu wa miaka ya 1990
Manyimbo ya Enzi za nyerere 😅😅😅Wapi manyimbo ya kizee hahahahahahaha, ile kwaya ilikuwa ya Ifakara bila shaka. Welcome back Mkuu.
Nahuo mshahara huyo mtu Ana miaka miwili mbele anastafu tena yupo daraja GKwani hujasikiliza hotuba ya Raisi?Uache uongo,hapo sili Milo 3?
Duh! Ndio kiingereza hicho. Au mambo ya Google Translator? Kweli wewe Mpwayungu VillageTyping error, the sentence is clearly known as whole
Nastafu 2045 jombaNahuo mshahara huyo mtu Ana miaka miwili mbele anastafu tena yupo daraja G
[emoji23] dah!Iweke sukari
wengine walikua wamekaa chini wamenyoosha na miguu wakisubiri kudanganywaManyimbo ya Enzi za nyerere í ½í¸í ½í¸í ½í¸
Sema kunawalimu wale wazamani ambao wao huwaambii kitu Kwa kuvaa mabwangwa na pigo zao Fulani hivi atakama wanapesa na sio walimu tu ata watumishi wengi wenye maadil ya miaka ya themaninizi ndo pigo zaoWalimu tunajenga na tunaweka kununua vigari hivi vya bei rahisi,au unazungumzia walimu wa miaka ya 1990
Pambana nA UMASIKINI WAKO TEACHER 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sawa ticha 😁😁😁😁I feel sorry for you, Nipo dunia ya kwanza upo dunia ya 3 ambayo huna uhakika wala elimu bora ndio maana mnaona walimu ni wajinga. Pambana na hali zako
Ulianza ajira mwaka gn nipige mahesabu ukizingatia upandishwaji wa madaraja ni miaka kumi Kwa daraja moja nasio mitatu kama ilivyo kwenye makaratasiNastafu 2045 jomba
Mwamba ameamka tena....Nitakuwa wa mwisho kuamini kazi ya ualimu inaweza kumpa mtu maisha bora ya milo mitatu na usafiri binafsi wa uhakika. Imagine mpaka Mei mosi inafika hakuna mwalimu au kundi lolote lililosimama kutetea maslahi Yao
Inaumiza sana kuona mamluki wenye mavazi ya cwt kuvaa mabango ya kinafiki kumsifu Rais eti Asante Kwa vishikwambi 2025 umepita, who says? Walimu ivi kishikwambi ndokifanye umpe Rais Kura 2025??
Kuna baadhi ya walimu hamko serious mimi ningetegemea siku ya Mei mosi mfanye peaceful demonstration lakini hola mnaenda kuimba manyimbo ya kizee ya kumsifu Rais tu huku mnalala njaa mnanuka majasho ya shida madeni tupu
Ngoja Nile nyama narudi View attachment 2621499
Mkuu hiyo nyama iliyojaa mafuta kama ni wewe unakula ni hatari kwa afya yako, tunakuhitaji sana hapa jukwaani..Typing error, the sentence is clearly known as whole
Mwalimu anawawakilisha walimu wenzakeAi
Aibu naona mm kwenye hii video