Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #1,341
Nina hangover ya jackdaniel Kaa Kwa kutulia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hiyo nyama iliyojaa mafuta kama ni wewe unakula ni hatari kwa afya yako, tunakuhitaji sana hapa jukwaani..
Aiseeee [emoji15] [emoji15].. Vipi draft ya mitaala ya Elimu mmeipitia lakini na kutoa comments zenu? [emoji12]Babu hakuna mwalimu anayeridhika na hali yake zaidi tume take easy tusichafue hali ya hewa....
Hapa kituoni kwangu kuanzia saa 4 asubuhi tumepeana shift za kutoroka tunazama kitaa tunafanya mishe zetu...
Walimu ni sisi wakimya na siyo kwamba hatuon kada nyingine zikipata marupurupu hapana tunatulia tu wataona wenyewe matokeo ya watoto wao wanaotuletea mwisho wa mwaka...
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Sometimes walimu mueleweni Mpwayungu Village anaonekana hana nia mbaya na nyie
Mwalimu awe dunia ya kwanza?? Your not serious mkuu labda mwalimu wa Sweden,I feel sorry for you, Nipo dunia ya kwanza upo dunia ya 3 ambayo huna uhakika wala elimu bora ndio maana mnaona walimu ni wajinga. Pambana na hali zako
Nilitaka kumjibu umeniwahi [emoji23][emoji23][emoji23]Mwalimu awe dunia ya kwanza?? Your not serious mkuu labda mwalimu wa Sweden,
Tena linajengwa Kwa miaka 17Wengi wao wanajenga mapagale
Kwahiyo wajiongeze Kwa kuiba chaki?Mimi npo local government maisha ya watumish hayapshn sana mishahara ni ile ile tuu ujanja n kujiongez na si kaz
Shida walimu wengi ni wajinga nchi hiiSometimes walimu mueleweni Mpwayungu Village anaonekana hana nia mbaya na nyie
Nimeanza 2008 D,2014 E ,2021 F nimezaliwa 1985 Nina miaka 37,Ajira nimeanza na miaka 23.Ulianza ajira mwaka gn nipige mahesabu ukizingatia upandishwaji wa madaraja ni miaka kumi Kwa daraja moja nasio mitatu kama ilivyo kwenye makaratasi
Kwani wewe utakuwa wa Kwanza humu kukataa sina muda wa kuthibitishaMwalimu awe dunia ya kwanza?? Your not serious mkuu labda mwalimu wa Sweden,
Amerudi kama "anahoja hivi"Once again.....kasharudi 🔊🔊🔊🔊🔊🔊🔊 mpwayungu
Kipindi cha ulienda deshiiiiNimeanza 2008 D,2014 E ,2021 F nimezaliwa 1985 Nina miaka 37,Ajira nimeanza na miaka 23.
Kipi alichoandika ambacho sicho.Moderator, ContentCreator maxime mello
Tumechoka dhihaka za huyu mtu juu ya walimu, mnapomuachia ina maana mnaungana nae kwa matusi na dhihaka zake kila siku,
HAIWEZEKANI na HAIKUBALIKI
Ameongea ukweli.
Bila "kila mtu" basi usingekuwepoNyie mnaoponda walimu mnachekesha kweli. Aliyewaambia miasha mazuri yanapimwa na kazi ya mtu ni Nani?. Ao mnaozan wanamaisha mazur kisa wanalipwa mshaara mnono Kama madaktari, wapo wengi tunawajua n walala hoi tu. Binafsi swala la kutoboa maisha n akili ya mtu sio wingi wa pesa. Mtoa mada nimemuelewa lakn Kuna wa2 kazi ku comment kuwatukana tu walimu wakat bila walimu wao Leo wasingeweza ata ku comment jamii forums. Mwalimu aheshimiwe Sana, kumtukana mwalimu ni kosa kubwa. Ptuuuuh
Kumbe madam ni MWALIMU..!!Usinimention kwenye hizi ujinga please....nakuheshimu
Kipi ni dhihaka hapo?Moderator ContentCreator @maximemello
Huyu bwana mnamfurahia? Hizi dhihaka zake sahizi tutamjibu Kwa matusi ya nguoni.
Mbona waalimu hawataki kukubaliana na ukweli, mpyayungu ni messenger don't shoot the messenger, ila soma the massage........waalimu hali zetu mbaya kupita maelezo vijijini baadhi ya waalimu ni wa chafu hata sabuni ya kuoshea nguo ni shida, kunyoosha ndo usisema mtu mwenye muonekano kama huo unategemea afundishe mwanao awe dakitari.Bila "kila mtu" basi usingekuwepo
1. Bila daktari USINGEKUWEPO
2. Bila mhandisi USINGEKUWEPO
3. Bila mkurugenzi USINGEKUWEPO
Cha pili.
NDIO NIKWELI, ukiwa na hela nyingi basi mafanikio huja haraka.
Cha tatu.
Walimu ndio tuko nao huku, na asemayo mpwayungu NI UKWELI MTUPU.
#YNWA