Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Yeye si ni mwanasheria mwambie akuoneshe zake
Mgonjwaa huyo, wanasheria kibao hapa hata ukimuita umpe dili anaomba nauli ya buku ten.. kukamata pesa haingali umesoma nini, bali upo kwenye mazingira ( network, mahusiano mazuri na unachofanya na unaofanya nao, na matumizi mazuri ya akili na mda bila kusahahu kutumia season vizuri )
 
Huyo alilawitiwa akiwa mtoto


Hivyo Bado ana Ile psychological torture

Na kama haitoshi akangukia katika fani ya wale waliomlawiti hivyo nafsi yake ipo kwenye conflict kukubaliana na ukweli

Ndo maana unaoana hizi psychological self projection haziiishi humu
Uko sawa mkuu, huyu jamaa mwanzo nilidhani anaakili kumbu ni punga kabisa baada ya kujitangaza
 
Ila unawatesa sana waalimu.... Na omba wasiwajue wstoto wako..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yeye mwenyewe mwalimu, Ila nampenda ni mwalimu anayejielewa na kuumizwa na Hali ya walimu wenzie....manake muda mwingine na sie tunazingua, unakuta mwalimu hajipendi, yupo yupo anavaa Kama halipwi mshahara....Yani chizi si chizi, ukiuliza mazingira....khaaa sasa mazingira ndo yanakuzuia kujipenda?

Kwenye Kazi sasa, mwalimu anategea Kazi, hafundishi ipasavyo....kila siku yeye ana udhuru, kutwa kukaa chini ya mti kupiga majungu walimu wenzie na mwalimu mkuu. Akimaliza muda wa Kazi linabaki shuleni kuendelea majungu akiswitch mada ni Simba na Yanga.....haumizi kichwa kutafuta shughuli nyingine ya kuingiza kipato au kufanya professional development.....afu kutwa kupiga miayo kusubiri nyongeza ya mshahara, Kwa Kazi ipi ulofanya?
Walimu tujirekebishe!
 
Mgonjwaa huyo, wanasheria kibao hapa hata ukimuita umpe dili anaomba nauli ya buku ten.. kukamata pesa haingali umesoma nini, bali upo kwenye mazingira ( network, mahusiano mazuri na unachofanya na unaofanya nao, na matumizi mazuri ya akili na mda bila kusahahu kutumia season vizuri )
Aahahahah

mpwayungu village Kwa huu ujinga wake humu jf anajikosesha Dili nyingi sana hapa mjini

Anshindwa kukumbuka kuwa watu ndo wenye Hela na ndiyo watakao kuweka mjini
 
Hakuna mwalimu huyu Kwa msimamo wangu na nalijua hili kwakua najua akili zao za kujiongeza kibiashara ni zero. Ukiona mwalimu ana million mia tu ujue huyo kastafu juzi na baada ya wiki mbili utakuta kanunua pikipiki na anaanza ujenzi wa nyumba ya kimasikini isiyozidi million ishirini

Walimu hawa sijui walimkosea nini mwenyezi Mungu. Jana Kuna mwalimu kalawiti mtoto WA darasa la tatu chooni, yani unafanya mapenzi kwenye vyoooo akili za walimu hizi dah View attachment 2574700
Hapa ulitamani ungelawitiwa wewe
 
Yeye mwenyewe mwalimu, Ila nampenda ni mwalimu anayejielewa na kuumizwa na Hali ya walimu wenzie....manake muda mwingine na sie tunazingua, unakuta mwalimu hajipendi, yupo yupo anavaa Kama halipwi mshahara....Yani chizi si chizi, ukiuliza mazingira....khaaa sasa mazingira ndo yanakuzuia kujipenda?

Kwenye Kazi sasa, mwalimu anategea Kazi, hafundishi ipasavyo....kila siku yeye ana udhuru, kutwa kukaa chini ya mti kupiga majungu walimu wenzie na mwalimu mkuu. Akimaliza muda wa Kazi linabaki shuleni kuendelea majungu akiswitch mada ni Simba na Yanga.....haumizi kichwa kutafuta shughuli nyingine ya kuingiza kipato au kufanya professional development.....afu kutwa kupiga miayo kusubiri nyongeza ya mshahara, Kwa Kazi ipi ulofanya?
Walimu tujirekebishe!
Hao walimu wategeaji wapo,na wanaojielewa wapo

Mbona waliofanikiwa hamuwasemi!?
 
Yeye mwenyewe mwalimu, Ila nampenda ni mwalimu anayejielewa na kuumizwa na Hali ya walimu wenzie....manake muda mwingine na sie tunazingua, unakuta mwalimu hajipendi, yupo yupo anavaa Kama halipwi mshahara....Yani chizi si chizi, ukiuliza mazingira....khaaa sasa mazingira ndo yanakuzuia kujipenda?

Kwenye Kazi sasa, mwalimu anategea Kazi, hafundishi ipasavyo....kila siku yeye ana udhuru, kutwa kukaa chini ya mti kupiga majungu walimu wenzie na mwalimu mkuu. Akimaliza muda wa Kazi linabaki shuleni kuendelea majungu akiswitch mada ni Simba na Yanga.....haumizi kichwa kutafuta shughuli nyingine ya kuingiza kipato au kufanya professional development.....afu kutwa kupiga miayo kusubiri nyongeza ya mshahara, Kwa Kazi ipi ulofanya?
Walimu tujirekebishe!
Wewe nawe hueleweki, unaambiwa walimu wafundishe hadi jioni saa 12. Sasa huo muda wa kutafuta kazi nyingine anapata wapi?
 
Mkuu amka usingizi upo Tanzania, hujui watu wa hii nchi ni wanafiki kupitiliza. Ndohawa utakuta wanasema kwenye vijiwe vya kawaha mwiguru nchemba hawampendi lakini akijitokeza kijiweni yanaamka na kumwachia siti huku meno nje nje utaskia karibu mheshimiwa [emoji23]
Hawa wanaokufariji kwenye huu ujinga wako hatudili nao

Siye na wewe tu

Mpaka unapokaa tutayajua,mpka upo na unafanya nini tutapajua Ili tuprove haya unayoyaandika humu huko field hapo

Jiandae
 
Aahahahah

mpwayungu village Kwa huu ujinga wake humu jf anajikosesha Dili nyingi sana hapa mjini

Anshindwa kukumbuka kuwa watu ndo wenye Hela na ndiyo watakao kuweka mjini
Hajui maisha ya ulimwengu wa pesa yalivyo.. maisha ya pesa hayaangalii umesoma nini au upo kada gani.. maisha ya ulimwengu wa pesa yapo tofauti sanaaa na akili zake zinavyotazama
 
Back
Top Bottom