Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

•Walimu hawa hawa nfo juz imetoka taarifa wanachangishwa kuupokea mwenge

•Hawa hawa waalimu ndo pekee waliojitokeza kwa wingi kwny mchakato wa sensa

•ifike mahala walimu mfanye kikao mbadilike asee mnatia aibu,ufaulu mdg ulowafanya kusomea ualimu usiwafanye kuonekana hamna akili
 
•Walimu hawa hawa nfo juz imetoka taarifa wanachangishwa kuupokea mwenge

•Hawa hawa waalimu ndo pekee waliojitokeza kwa wingi kwny mchakato wa sensa

•ifike mahala walimu mfanye kikao mbadilike asee mnatia aibu,ufaulu mdg ulowafanya kusomea ualimu usiwafanye kuonekana hamna akili
Umemaliza kila kitu mjomba [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi hapa bhana Mpwayungu, niliacha uaskari magereza nikahamia kufundisha nilifundisha miaka 11 bila kujua kuacha uaskari magereza, niliacha ualimu baada ya kupata kazi kwenye organization Fulani ya kawaida sana(Research institute), lakini mpaka leo napenda kufundisha!
Sasa askari magereza nayo ni kada/taaluma?
 
Mzee wangu alisoma bachelor ya General agriculture pale sua miaka ya 90 then aka fanya postgraduate ya education udsm ili awe ticha, amestaafu kama afisa elimu, ualimu mbona ulimlipa fresh tu na alikuwa anaupenda damuni yaani
Sasa agriculture nayo ni taaluma ya mtu kujivunia?

Ndo maana aliona ni bora kwenda ualimu maana hiyo kozi utaajiriwa afisa kilimo huko vijijini mshahara laki tatu na sitini.
 
Mm mbona nilikuwa afsa kilimo nkahamia ualimu sa ivi maisha yang safi nna nyumba mbili na gari mbili za kutembelea na namiliki hardware yang tegeta huku acha upimbi fala ww
Sasa kama walimu wenyewe ndo kama wewe basi ni haki Mpwayungu village kuwananga.

Unaandika tegeta badala ya Tegeta.

Sa ivi badala ya sasahivi.

Hovyo kabisa. Sijui hizo shule za kata mnafundishwa ujinga.
 
kutokana na tofauti, baina yangu mimi na wewe, puh puh puuuuu puh ( allan mapigo )
 
duuuu hivi rangi ya njano ni nyeusi au bluu maana hua inanichanganya sana wadau....
Humu ndani mambo ni zig zag sana
this is JF

😂😂😂😂
 
"nisipoteze 10000 yangu niende Theofili kisanji" hahahahahahahaha ulichoka mno kimaisha hata elf kumi uliokosa!?? Unahaki ya kutaka kuolewa
 
Hiyo yote ni kuonesha kwamba wewe siyo mwalimu,baada ya wadau kufukua uzi wako
Alafu si ulisema ulikuwa unamuulizia mtoto wa anti yako?akasome digrii ya ualimu?
Maisha yamekunyoosha kila unachojaribu unashindwa ulishajaribu kutunga story nazo ukashindwa sijajui wewe ni mvivu ama shida ni nini
 
Nashukuru Mungu aliniokoa ni kabadili fani nikaenda kusoma sheria na mpaka Sasa natumikia shirika lisilo la kiserikal wananipa mshahara mnono bila hivyo ningekuwa mnuka jasho tu
mm ni jobless-mchumi wa hapo hapo udsm tangu 2020. ila kiukweli kila nikiweka bando championi wa JF kwa sasa mpwayungu unanitoa stress kabisa za mtaa ,endelea kushusha threads
 
Back
Top Bottom