Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Walimu Mei mosi imekaribia, andaeni mabango ya maandamano ya Amani

Ila kumbuka waalimu ni 47% ya watumishi wote wa sarikali, kiwastani wana hali mbaya kupita tasinia zingine.
Kwakuw ni wengi na kwenye wengi kuna mengi nazn :-

Hilo Tatzo , uwez kufananisha watu 10 kwa watu 100 la sivyo zitumike mahesabu ya uwiano

Ukikuta mtu wa sekta nyingne mmoja mlevu anaweza wakilsha walimu 5 had 10 walevi kimsingi nazn kama msomi utakuw umenielewa .


Polis mmoja alishindw maisha ni sawa na walimu 5 had 10

Hiyo yote ni number ya watumish walimu ni kubwa na wapo kila kona
 
Kwakuw ni wengi na kwenye wengi kuna mengi nazn :-

Hilo Tatzo , uwez kufananisha watu 10 kwa watu 100 la sivyo zitumike mahesabu ya uwiano

Ukikuta mtu wa sekta nyingne mmoja mlevu anaweza wakilsha walimu 5 had 10 walevi kimsingi nazn kama msomi utakuw umenielewa .


Polis mmoja alishindw maisha ni sawa na walimu 5 had 10

Hiyo yote ni number ya watumish walimu ni kubwa na wapo kila kona
Waalimu walio toboa maisha kweli sisemee wale walio pata mkopo na kumiliki gari Passo au ISt namaanisha anae weza kuishi bila mshahara hata kwa miezi sita na kusomesha watoto wake English medium za mjini, na kuishi kwenye residential house sio shelter tu ni 1% tu. Linganisha na madakitari au jeshi uone kwamba waalimu wana hali mbaya.
 
Jamii zetu zinahitaji watu kama mpyayangu village, wenye misimamo kubadili hao adamant people kama waalimu, hali zao mbaya ila ndo wako mistari wambele kusifia kila kitu........wengi huona anawaponda ila anawasaidia kuwapazia sauti kwa wakubwa wenu na creat awareness katika jamii nzima.
Thanks much my Homie
 
Waalimu walio toboa maisha kweli sisemee wale walio pata mkopo na kumiliki gari Passo au ISt namaanisha anae weza kuishi bila mshahara hata kwa miezi sita na kusomesha watoto wake English medium za mjini, na kuishi kwenye residential house sio shelter tu ni 1% tu. Linganisha na madakitari au jeshi uone kwamba waalimu wana hali mbaya.
[emoji3061][emoji1732][emoji1783]
Mkuu daktari gan, mwanajeshi gan huyo , Tena wanajeshi posho zao ni zile rasm mara kumi Traffic njian anakuw anauwezo wakuokoteza ata 30,000 had 100,000 kwa siku asii angaike na salary Nje ya Hapo umelowa[emoji1783]



Acha story za vijiwen , anawez hivyo ni mfabiashara alie komaa Kibashara

Mtumish miez 6 bila kutumia mshahara huyo ni fisadi tuu , labda kama unaongelea watumishi katk ofisi ya Rais HUKO.
 
Waalimu walio toboa maisha kweli sisemee wale walio pata mkopo na kumiliki gari Passo au ISt namaanisha anae weza kuishi bila mshahara hata kwa miezi sita na kusomesha watoto wake English medium za mjini, na kuishi kwenye residential house sio shelter tu ni 1% tu. Linganisha na madakitari au jeshi uone kwamba waalimu wana hali mbaya.
Walimu almost wote wanategemea mshahara, kamshahara kenyewe sasa 🤣🤣🤣
 
[emoji3061][emoji1732][emoji1783]
Mkuu daktari gan, mwanajeshi gan huyo , Tena wanajeshi posho zao ni zile rasm mara kumi Traffic njian anakuw anauwezo wakuokoteza ata 30,000 had 100,000 kwa siku asii angaike na salary Nje ya Hapo umelowa[emoji1783]



Acha story za vijiwen , anawez hivyo ni mfabiashara alie komaa Kibashara

Mtumish miez 6 bila kutumia mshahara huyo ni fisadi tuu , labda kama unaongelea watumishi katk ofisi ya Rais HUKO.
Neenda kigamboni ujionee jinsi wanajeshi wanavo jijengea byumba za maana, ukiuliza nyumba tatu mbili za wanajeshi, neenda goba wanajeshi wanamiliki mpaka gorofa, hapa sijakutana na ghorafa moja inao milikiwa na in-service teacher kama unaijua ipige picha hapa.
 
[emoji3061][emoji1732][emoji1783]
Mkuu daktari gan, mwanajeshi gan huyo , Tena wanajeshi posho zao ni zile rasm mara kumi Traffic njian anakuw anauwezo wakuokoteza ata 30,000 had 100,000 kwa siku asii angaike na salary Nje ya Hapo umelowa[emoji1783]



Acha story za vijiwen , anawez hivyo ni mfabiashara alie komaa Kibashara

Mtumish miez 6 bila kutumia mshahara huyo ni fisadi tuu , labda kama unaongelea watumishi katk ofisi ya Rais HUKO.
Kutumia mshahara sio dhambi, shida mshahara wenyewe unatosha sasa? Bora daktari anadunduliza za kondom na kutoa mimba Sasa mwalimu atapata Wapi ziada ya pesa kama sio mshahara tuu
 
Neenda kigamboni ujionee jinsi wanajeshi wanavo jijengea byumba za maana, ukiuliza nyumba tatu mbili za wanajeshi, neenda goba wanajeshi wanamiliki mpaka gorofa, hapa sijakutana na ghorafa moja inao milikiwa na in-service teacher kama unaijua ipige picha hapa.
Mimi nimetoka familia hiyo baba ni mwanajeshi so i know them very well ata mzee amejenga nyuma 4 kimara lakn ni pato ndan ya mshahara na mikopo tuu
 
Back
Top Bottom