Walimu na Askari Polisi mnajidharirisha sana

Walimu na Askari Polisi mnajidharirisha sana

Itakuwa ulifaulu Kwa kuibiwa mtihani na walimu. Yaani nimewataja walimu na askari polisi lakini wewe ukaona bora uwatetee walimu tu? 😄😄😄

Halafu sijasema kuwa walimu wote ni wanabeti,wanaweka mimba wanafunzi wao,wanawekea poni vishikwambi walivyopewa na serikali Sasa wewe unateseka wapi? Wewe ni mwalimu usiukane ualimu wako.
Umekazana Sana kunivisha vazi la ualimu ambao nautamani! Huwezi kuwa na fikra chanya Kama unaweza kuliangushia furushi la lawama kundi lote la walimu na polisi kwa kosa la mmojawapo then uconclude kuwa wote wako hivyo alivyofanya mmojawapo! Hizo ni dalili za mwisho za ugonjwa wa akili yaani critical stage! Waombe msamaha upone, kinyume chake utaishi kiugumu Sana dogo!
 
Nafahamu wazi kuhusu hili na nikamwambia mpwayungu village humu ndani aache kuwachochea ninyi walimu kuigomea serikali, jamii na watu wengine huku akitumia Saikolojia ya udhalilishaji ilihali anawachochea. Nilimwambia tutamkamata na akaahidi kuitikia wito. Hamtamwona tena humu ndani akiwaandama walimu wenzie. Embu walimu acheni kuidharau kazi yenu. Watumishi wengi nchi hii kimasilahi hamtofautiani. Tunafanya kila tuwezalo kuleta usawa.
Duh!
 
Umekazana Sana kunivisha vazi la ualimu ambao nautamani! Huwezi kuwa na fikra chanya Kama unaweza kuliangushia furushi la lawama kundi lote la walimu na polisi kwa kosa la mmojawapo then uconclude kuwa wote wako hivyo alivyofanya mmojawapo! Hizo ni dalili za mwisho za ugonjwa wa akili yaani critical stage! Waombe msamaha upone, kinyume chake utaishi kiugumu Sana dogo!
Una matatizo makubwa Sana ya uelewa nadhani unastahili kucholewa gari ubaoni halafu tukuambie uendeshe,tuanzie hapo kwanza katika kukusaidia
 
SIJAFUNDISHWA NA WALIMU . ASILIMIA 80 NIMEJIFUNDISHA MIMI MWENYEWE HIZO 20 NI WAZAZI NA MWALIMU WANGU BINAFSI

WANA MAISHA MAGUMU SANA NI KADA YENYE LAAAANA

KATAAA UALIMU NI LAAAAN
Huyo Mwalimu wako binafsi si anawakilisha kada hiyohiyo ya walimu? Au anawakilisha wahandisi?

Umejifundisha mwenyewe! Tangu ngazi (darasa) gani? How?! Wewe ni immortal? Acha ghiriba za nyani mzee mkuu!
 
...... Nilimwambia tutamkamata na akaahidi kuitikia wito ......
Watumishi wengi nchi hii kimasilahi hamtofautiani. Tunafanya kila tuwezalo kuleta usawa.

1. ... Nilimwambia tutamkamata na akaahidi kuitikia wito ......
Moderator huyu jamaa ye ni Shemdoe, TISS, TAKUKURU, au nani?
Mbona anatisha raia hivi???

2. Watumishi wengi nchi hii kimasilahi hamtofautiani. Tunafanya kila tuwezalo kuleta usawa.

Punguza UONGO
Mwalimu Hana extra duty
Mwalimu Hana safari za Dodoma
Mwalimu Hana semina
Mwalimu hapeleki taarifa mkoani

Kifupi mwalimu Hana zile "Frequently activities" za kumfanya alamba viposho kama watumishi wengine.

Anakuaje sawa na watumishi wengine kimaslahi?

#YNWA
 
Zamani nilikuwa najua kuwa walimu ni kioo Cha jamii,kumbe nilikuwa najidanganya huenda ni kwasababu nilikuwa mtoto kipindi hicho au kwasababu walikuwa watu wa karibu yangu kwasababu nilikuwa mwanafunzi na niliwachukulia kama watu waliofanikiwa zaidi katika jamii.

Leo nashuhudia mengi kutoka kwao mpaka napingana na mtazamo wangu wa zamani. Kumbe walimu wengi wao ni wahuni kuliko vile nilivyokuwa nadhania.

Juzi juzi tu hapa walimu wameuana kugombania madaraka,aibu sana hii. Mara walimu utasikia wamekutwa na kashfa ya wizi wa mitihani wengine wameiba fedha za miradi. Kuna wengine wamekutwa na hatia Kwa makosa ya kuwaweka mimba wanafunzi wao.

Serikali imewapa vishikwambi lakini wengi wao wanavitumia kubetia. Wengine wameshaviwekea poni vilabuni Kwa kushindwa kulipa bili za pombe chafu walizokuwa wanakopa.

Tukija Kwa askari polisi nao hali kadhalika. Wengi wao wanavuta bange na kutumia vilevi vikali sana. Wameharibu maisha yao kwa kuendekeza anasa.

Askari polisi mnakula rushwa bila haya. Mnatumika na wanasiasa kama vile mfugaji anavyotumia mbwa kulinda mifugo yake. Mpo kulinda masilahi ya wanasiasa wenyewe mkiendelea kuvaa sare zenye viraka na viatu vinavyocheka.

Jirekebisheni mnatia aibu.
walimu wenyewe hawapendi kuwa walimu ni bac tu
 
1. ... Nilimwambia tutamkamata na akaahidi kuitikia wito ......
Moderator huyu jamaa ye ni Shemdoe, TISS, TAKUKURU, au nani?
Mbona anatisha raia hivi???

2. Watumishi wengi nchi hii kimasilahi hamtofautiani. Tunafanya kila tuwezalo kuleta usawa.

Punguza UONGO
Mwalimu Hana extra duty
Mwalimu Hana safari za Dodoma
Mwalimu Hana semina
Mwalimu hapeleki taarifa mkoani

Kifupi mwalimu Hana zile "Frequently activities" za kumfanya alamba viposho kama watumishi wengine.

Anakuaje sawa na watumishi wengine kimaslahi?

#YNWA
Huyu jamaa ana lengo la kutaka kuminya uhuru wa watu katika kujieleza. Nadhani hawezi kiwa TISS kwasababu kwanza hana uwezo mkubwa wa kupambanua mambo. Hajui kupambanua viashiria vya uchochezi na ni mtu mpenda sifa na kujitangaza. Ni wakati muafaka Kwa Moderator kula naye sahani moja mpaka atubu.
 
Kuna lindi la mashoga wanawakandia sana walimu. Kwa mtazamo naona wanafanya hivyo kwa kujua kuwa walimu wana mchango mkubwa sana katika kufelisha ajenda za ushoga kuingia kwenye jamii kupitia watoto(wanafunzi)
Hawataweza!!
Kuna mmoja amesababisha mpaka wengine wote wanaokandia walimu waonkane ni mashoga. Na huenda ni kweli..
 
Kuna lindi la mashoga wanawakandia sana walimu. Kwa mtazamo naona wanafanya hivyo kwa kujua kuwa walimu wana mchango mkubwa sana katika kufelisha ajenda za ushoga kuingia kwenye jamii kupitia watoto(wanafunzi)
Hawataweza!!
Kuna mmoja amesababisha mpaka wengine wote wanaokandia walimu waonkane ni mashoga. Na huenda ni kweli..

Ona kijana mtoto wa kiume unaongea huku unani manulia miguu nione kinena pori cha kunyeaa


Stupid huwa sili mavi, pelekea wasnge wakakufire


unajiita [mention]supatolu [/mention] wakati wewe ni supa mqkundu
 
Back
Top Bottom