Walimu Sekondari ya Aga Khan wagoma kisa Ubaguzi wa Rangi

Misingi ya kikoloni ilishaweka hiyo mizizi, jitihada za ziada zinahitaji kupindua meza kwa kweli

Uko sawa cha ajabu tumerithi haya mambo bila ya kuelewa maana yake mfano mpaka leo hii tunaita maeneo Uzunguni, Uhindini na Uswahili bila ya kujua ni Wazungu waliweka hiyo apartheid wakati wa Ukoloni ilikuwa hivyo maeneo bora ni kwa Wazungu Uzunguni kama O‘bey, ya daraja la pili Uhindini kama Upanga na daraja la tatu na la mwisho uswahilini kama Magomeni na mpaka leo hii hata kwenye mji mipya sehemu nzuri tunaita uzunguni au Uhindini sehemu mbaya na chafu tunaita uswahilini lakini chanzo cha huo mgawanyiko ni ubaguzi dhidi yetu na sisi tunaendeleza bila ya kujua, …
 
Mfumo ni uleule toka ukoloni,unaona hapo HR ni muafrika mwenzetu ila anatetea,hana tofauti na akida au liwali wa enzi ya mkoloni[emoji1787][emoji1787]
 
NHIF inqtumika aghkhan ila inategemea na thaman ya kadi,hizi za walalahoi ndo haziingii ila zile za juu kama wanazotumia TRA,BOT au NHIF zinatumika vzr tu
 
Uislam umeingiaje sasa hapa?? Kina taasisi gani ya kiislamu au unazungumzia bakwata??
 
Trust me.
This regime hakuna lolote litafanyika na sana sana, waalimu wataombwa kuvumilia changamoto hizo huku serikali ikichunguza.

Ripoti hiyo itatoka baada ya ile ya kuungua Soko la Kariakoo
 
Africa tumekuwa wakulalamika sana,,, unabaguliwa na still bado unataka kuendelea kukomaa hapohapo...

Unampangiaje mtu aliyewekeza pesa zake namna ya kuzitumia..?? ukiona mshahara mdogo acha kazi nenda kapambane.... kwanini uishi kitumwa kwenye taifa lako....
 
Sijui unazungumzia uhusiano gani, Mimi Mbantu, wewe pengine Nilotic kuna mwingine Cushites unazungumzia kipi. Mimi sitetei Mwarabu au yeyote yule, nachokataa ni kutumia card ya ubaguzi kubagua. Ukibagua wewe akibagua Mwarabu, Muhindi kosa ni lille lile.
Sijui kama ulishawahi kufika Nchi kama Rwanda au Cameroon ukaona ubaguzi ulipowafikisha.

Caspian ina uhusiano gani na asili ya Mtu? Vipi TAIFA GAS? Vipi IPP?
 

Watanzania >98% ni Wabantu, hivyo ubaguzi kwangu mimi ni upendeleo wa Makusudi kwa majority, kwa maana nyingine Uchumi na fursa hapa Tanzania ni lazima ziende kwa Watanzania wenye asili ya hapa ambao ndio wengi, sisi weusi ndio tumiliki njia kuu za Kiuchumi na minority kama Waarabu, Wahindi, Wazungu, Wachina na wengineo wasio asili ya Afrika wawe chini yetu na hilo linawezekana tu kama kukiwa na hatua za makusudi kabisa kutoa upendeleo kwa watu wetu kwenye kila kitu kuanzia mikopo benki, ajira, uongozi mpaka kwenye Sanaa na Michezo timu zetu zimilikiwe na sisi na siyo Waasia au Waarabu kama ilivyo leo hii, huo ndio ubaguzi ninaouongelea.

Na Nchi zote zilizoendelea Dunia zimefanya hivyo, unafikiri kwa nini AK kuna Black empowerment Programm iliyoanzishwa na Serikali ya Thabo Mbeki ?
 
Hili ni jambazi kuu tz ..mpaka tembo wetu wanamjua ccm kimechukuliwa na kuwa mali na kampuni ya wahindi na waarabu sasa hivi pesa za serikali uetu ni mali zao wanachota tu ...hakina singasinga , gsm ,ristam ,zungu , samia nk haya yote kayaleta mzee wa msoga
 
Ulisoma wakati wa Mr thind au

Ova
 
Misingi ya kikoloni ilishaweka hiyo mizizi, jitihada za ziada zinahitaji kupindua meza kwa kweli
Slave mentality
Maujinga haya did amin
Ndy alikataaga akawatimua
Na yote kwa sababu wao wanajiona
Kiuchumi wako vzr
Ndomana inabadi wabongo asilia wapambane wawe na uchumi mkubwa,hebu angalia top 10 ya matajiri bongo,tuangalie wabongo wanao miliki viwanda vikubwa ni wangapi

Ova
 
Na Nchi zote zilizoendelea Dunia zimefanya hivyo, unafikiri kwa nini AK kuna Black empowerment Programm iliyoanzishwa na Serikali ya Thabo Mbeki ?
Jaribu kufikiri tena.

Hicho unachosema ni BLACK EMPOWERMENT kwa AK hakijasaidia kivyovyote kuwezesha wazawa ambao ndio wengi.

Uchumi wa AK bado uko mikononi mwa Wazungu
 
Sina hakika kama Serikali yetu italishughulikia!
Wahindi wasikie tu ni Wabaguzi wa kutupwa.Kule kwao tu nasikia wanaishi kwa matabaka.
The late Mtikila ndiye alikuwa anawaita Magabacholi miaka ile ya 85's
 
Sio Serikali tu wakulaumu, hata vibaka wezi na majambazi, wamewafumbia mno macho hawa ushindi.. Na hatusikii panyaroad wakifanya yao kwa hawa watu..
 
Jaribu kufikiri tena.

Hicho unachosema ni BLACK EMPOWERMENT kwa AK hakijasaidia kivyovyote kuwezesha wazawa ambao ndio wengi.

Uchumi wa AK bado uko mikononi mwa Wazungu

Lakini angalau wamejaribu, huwezi kumaliza na kuondoa hali iliyodumu kwa miaka zaidi ya 100 ndani ya muda mchache, angalau AK wao walikaliwa kwa mabavu sisi kila kitu ni chetu lkn bado tunashindwa kujipendelea na kujiwezesha kumiliki njia zote za Kiuchumi kwenye Nchi yetu!
 
Jaribu kufikiri tena.

Hicho unachosema ni BLACK EMPOWERMENT kwa AK hakijasaidia kivyovyote kuwezesha wazawa ambao ndio wengi.

Uchumi wa AK bado uko mikononi mwa Wazungu
Tena hiyo black empowerment ndiyo balaa zaidi. Watatajirika 'weusi' wenzetu wachache na dinner wanakutana na hao weupe kupiga stori (kwa sababu ndiyo level yao).

Hapa Tanzania alikuwepo mmoja mpigania uzawa na Mzee wetu marehemu. Kuna wakati alipigapiga sana kelele, Rais Mwinyi kipindi hicho akampa kiwanja hapo ilipo Serena Hotel, baada ya muda akawauzia haohao aliokuwa akiwalaumu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…