Walimu Shule ya Sekondari Butimba na kashfa ya kujihusisha kimapenzi na Wanafunzi

Walimu Shule ya Sekondari Butimba na kashfa ya kujihusisha kimapenzi na Wanafunzi

HABARI YA WANABODI?

Kuna huu upumbavu, umenikera. Hebu tusaidiane kuutatua.

NI JUU YA WAALIMU MALAYA WA BUTIMBA SEKONDARI-MWANZA


....Mwalimu mwanzalima na mwalimu paul....(JELA INAWAITA)

Mwalimu wa Butimba sekondari wiki hii alitaka kumbaka mwanafunzi ila Mungu saidia aliweza kumponyoka na kukimbia.

Mwanafunzi huyo wa kike sketi yake ilichanika, ilikuwa masomo ya saa tisa hivi.

Mwanafunzi alienda moja kwa moja kwa mama yake na kumjuza juu ya tukio hili. Mzazi alitoa taarifa kwa kiongozi mmoja wa chama na kiongozi wa chama akaijuza serikali na serikali ikamtuma afisa elimu wa wilaya ya Nyamagana kutatua mgogoro huo.

Mwalimu aliohijwa ila alikana kabisa kuhusika na tukio hilo.

Kikao cha mkuu wa shule na walimu pia hakikuzaa matunda, mwalimu bado alikana kata kata kuhusika na tukio hilo.

Mkuu mpya wa shule alimuita mzazi wa binti huyo wakaongea nae kwa kumpoza ili suala liishe, na hakika kwa mzazi na mwanafunzi ni kama limeisha.

Timu ya afisa elimu wamesema watapeleleza zaidi kuufahamu ukweli.

HALI YA SASA YA MWALIMU ALIYETAKA KUBAKA

Tangu timu ya afisa elimu kusema watalifanyia uchunguzi, mwalimu ameonekana akiongea na baadhi ya wanafunzi wa kike akiwa na sura ya hofu kana kwamba kuna kitu anataka kuficha.

TUKIO HILI LILITOKEAJE?

Kwa ufupi walimu hao wawili ofisi yao ni maabara ambayo ina magrill na mapaazia mazito.

Mwanafunzi huyu aliitwa na mwalimu huyo kuchukua mtihani wake.

Mwanafunzi huyo alienda, mashuhuda wawili wanazidi kusimlia.

Mwanafunzi alipoingia, pazia lilishushwa. Gafla wakaskia kelele kama ugomvi, niache, niache. Dakika sio nyingi, vitu kama vinadondoka ndani, ndipo mwanafunzi akatoka akikimbia huku kashikilia sketi imechanika. Moja kwa moja akaenda nyumbani

Binti huyu anasema mwalimu huyu amekuwa akimtongoza tangu kidato cha kwanza.

MWALIMU MWINGINE

Mwalimu mwingine huyu, anaekaa maabara. Mwenye sifa kama mwalimu wa kwanza. Huwaita wanafunzi na kuwawekea mziki kwenye smart phone na wanafunzi kuanza kucheza.

Mara kadhaa huwashika makalio na matiti na baadhi yao huwapa miadi wakutane siku za Jumamosi au Jumapili.

MHANGA MMOJA ANASIMULIA

Mwanafunzi mmoja wa kike, form one alichukizwa na kitendo cha mwalimu huyu, alimshika matiti na makalio. Alienda na kusema kwa mzazi.

Mzazi alilipeleka kwa mkuu wa shule, kikao kiliwekwa na mwalimu alionywa ingawaje hakukubali kosa.

Mwanafunzi huyu kaandamwa sana na walimu hawa wawili kwa manyanyaso ya kijinsia hadi anaomba ahamishwe shule. Ni matusi kwake na kejeli . Kwamba, umeshtaki imesaidia nini? Kwani hujawai kufanya?

Inauma sana.

YUPO MWALIMU ALIWAHI KUOA MWANAFUNZI BUTIMBA

Yupo mwalimu, alimpiga mimba mwanafunzi akiwa form 3, wazazi walimlazimisha amuoe na mpaka sasa alimuoa na hakuna hatua ya kisheria iliyochukuliwa kwa mwalimu huyo.


MKUU WA SHULE ALIYEAMIA MKOLANI SEKONDARI ANAJUA HAYA.

Aliwahi kumshuhudia mwalimu wa kiume amemkumbatia mwanafunzi maabara kimapenzi ila hakufanya lolote.

KIKAO CHA WAZAZI JANUARI
Mkuu wa shule mpya aliitisha kikao januari, suala la uzinzi wa walimu lilisemwa, ila hakuna hatua stahiki zilizo chukuliwa.

Wenye mamlaka nendeni karejee minutes za kikao cha Januari cha wazazi mtajua.

WAZIRI WA ELIMU NA TAASISI HUSIKA

Hili limezidi, linawakwaza waalimu, sana sana wa kike. Kwasababu hakuna hatua stahiki zinazo chukuliwa.

Mkishindwa kazi zenu, tutawasaidia. Haiwezekani mabinti wanyanyaswe kingono wapumbavu nyie mpo.

Imagine anafanyiwa mwanao, utajisikiaje?

USHAURI
Ni kazi rahisi, TAKUKURU, wekeni mtego, mtawashika hawa wapumbavu wote asubuhi na mapema. Kuanzia mkuu wa shule anayelea mpaka hao walimu wanaoacha wake zao na kutafuna watoto.

Nawasilisha.
Hizi tuhuma hazina ht ha ushahidi ka picha au video?au huko butimba simu janja ni changamoto?
Tuhuma based on hear says ni Umbea km Umbea mwingine tu.
 
We jamaa unaonekana una ugomvi binafsi na huyo mwl ama lah amekugengea dada ako,mkeo au dem wako,au hata kakugonga wewe na akakuacha kwenye mataa labda ulitaka awe wako daima kwa kuwa kwa jinsi ulivyo eleza ni wazi unaushaidi sasa huendi Panapo husika unabaki kubwabwaja kama pumbu one
 
HABARI YA WANABODI?

Kuna huu upumbavu, umenikera. Hebu tusaidiane kuutatua.

NI JUU YA WAALIMU MALAYA WA BUTIMBA SEKONDARI-MWANZA


....Mwalimu mwanzalima na mwalimu paul....(JELA INAWAITA)

Mwalimu wa Butimba sekondari wiki hii alitaka kumbaka mwanafunzi ila Mungu saidia aliweza kumponyoka na kukimbia.

Mwanafunzi huyo wa kike sketi yake ilichanika, ilikuwa masomo ya saa tisa hivi.

Mwanafunzi alienda moja kwa moja kwa mama yake na kumjuza juu ya tukio hili. Mzazi alitoa taarifa kwa kiongozi mmoja wa chama na kiongozi wa chama akaijuza serikali na serikali ikamtuma afisa elimu wa wilaya ya Nyamagana kutatua mgogoro huo.

Mwalimu aliohijwa ila alikana kabisa kuhusika na tukio hilo.

Kikao cha mkuu wa shule na walimu pia hakikuzaa matunda, mwalimu bado alikana kata kata kuhusika na tukio hilo.

Mkuu mpya wa shule alimuita mzazi wa binti huyo wakaongea nae kwa kumpoza ili suala liishe, na hakika kwa mzazi na mwanafunzi ni kama limeisha.

Timu ya afisa elimu wamesema watapeleleza zaidi kuufahamu ukweli.

HALI YA SASA YA MWALIMU ALIYETAKA KUBAKA

Tangu timu ya afisa elimu kusema watalifanyia uchunguzi, mwalimu ameonekana akiongea na baadhi ya wanafunzi wa kike akiwa na sura ya hofu kana kwamba kuna kitu anataka kuficha.

TUKIO HILI LILITOKEAJE?

Kwa ufupi walimu hao wawili ofisi yao ni maabara ambayo ina magrill na mapaazia mazito.

Mwanafunzi huyu aliitwa na mwalimu huyo kuchukua mtihani wake.

Mwanafunzi huyo alienda, mashuhuda wawili wanazidi kusimlia.

Mwanafunzi alipoingia, pazia lilishushwa. Gafla wakaskia kelele kama ugomvi, niache, niache. Dakika sio nyingi, vitu kama vinadondoka ndani, ndipo mwanafunzi akatoka akikimbia huku kashikilia sketi imechanika. Moja kwa moja akaenda nyumbani

Binti huyu anasema mwalimu huyu amekuwa akimtongoza tangu kidato cha kwanza.

MWALIMU MWINGINE

Mwalimu mwingine huyu, anaekaa maabara. Mwenye sifa kama mwalimu wa kwanza. Huwaita wanafunzi na kuwawekea mziki kwenye smart phone na wanafunzi kuanza kucheza.

Mara kadhaa huwashika makalio na matiti na baadhi yao huwapa miadi wakutane siku za Jumamosi au Jumapili.

MHANGA MMOJA ANASIMULIA

Mwanafunzi mmoja wa kike, form one alichukizwa na kitendo cha mwalimu huyu, alimshika matiti na makalio. Alienda na kusema kwa mzazi.

Mzazi alilipeleka kwa mkuu wa shule, kikao kiliwekwa na mwalimu alionywa ingawaje hakukubali kosa.

Mwanafunzi huyu kaandamwa sana na walimu hawa wawili kwa manyanyaso ya kijinsia hadi anaomba ahamishwe shule. Ni matusi kwake na kejeli . Kwamba, umeshtaki imesaidia nini? Kwani hujawai kufanya?

Inauma sana.

YUPO MWALIMU ALIWAHI KUOA MWANAFUNZI BUTIMBA

Yupo mwalimu, alimpiga mimba mwanafunzi akiwa form 3, wazazi walimlazimisha amuoe na mpaka sasa alimuoa na hakuna hatua ya kisheria iliyochukuliwa kwa mwalimu huyo.


MKUU WA SHULE ALIYEAMIA MKOLANI SEKONDARI ANAJUA HAYA.

Aliwahi kumshuhudia mwalimu wa kiume amemkumbatia mwanafunzi maabara kimapenzi ila hakufanya lolote.

KIKAO CHA WAZAZI JANUARI
Mkuu wa shule mpya aliitisha kikao januari, suala la uzinzi wa walimu lilisemwa, ila hakuna hatua stahiki zilizo chukuliwa.

Wenye mamlaka nendeni karejee minutes za kikao cha Januari cha wazazi mtajua.

WAZIRI WA ELIMU NA TAASISI HUSIKA

Hili limezidi, linawakwaza waalimu, sana sana wa kike. Kwasababu hakuna hatua stahiki zinazo chukuliwa.

Mkishindwa kazi zenu, tutawasaidia. Haiwezekani mabinti wanyanyaswe kingono wapumbavu nyie mpo.

Imagine anafanyiwa mwanao, utajisikiaje?

USHAURI
Ni kazi rahisi, TAKUKURU, wekeni mtego, mtawashika hawa wapumbavu wote asubuhi na mapema. Kuanzia mkuu wa shule anayelea mpaka hao walimu wanaoacha wake zao na kutafuna watoto.

Nawasilisha.
Acha wivu mwalimu,ndy maana huwa mkistafu tu na kifo juu kwasababu roho mbaya zimewajaa
 
We jamaa unaonekana una ugomvi binafsi na huyo mwl ama lah amekugengea dada ako,mkeo au dem wako,au hata kakugonga wewe na akakuacha kwenye mataa labda ulitaka awe wako daima kwa kuwa kwa jinsi ulivyo eleza ni wazi unaushaidi sasa huendi Panapo husika unabaki kubwabwaja kama pumbu one
Ona hii ng'0mb3
 
HABARI YA WANABODI?

Kuna huu upumbavu, umenikera. Hebu tusaidiane kuutatua.

NI JUU YA WAALIMU MALAYA WA BUTIMBA SEKONDARI-MWANZA


....Mwalimu mwanzalima na mwalimu paul....(JELA INAWAITA)

Mwalimu wa Butimba sekondari wiki hii alitaka kumbaka mwanafunzi ila Mungu saidia aliweza kumponyoka na kukimbia.

Mwanafunzi huyo wa kike sketi yake ilichanika, ilikuwa masomo ya saa tisa hivi.

Mwanafunzi alienda moja kwa moja kwa mama yake na kumjuza juu ya tukio hili. Mzazi alitoa taarifa kwa kiongozi mmoja wa chama na kiongozi wa chama akaijuza serikali na serikali ikamtuma afisa elimu wa wilaya ya Nyamagana kutatua mgogoro huo.

Mwalimu aliohijwa ila alikana kabisa kuhusika na tukio hilo.

Kikao cha mkuu wa shule na walimu pia hakikuzaa matunda, mwalimu bado alikana kata kata kuhusika na tukio hilo.

Mkuu mpya wa shule alimuita mzazi wa binti huyo wakaongea nae kwa kumpoza ili suala liishe, na hakika kwa mzazi na mwanafunzi ni kama limeisha.

Timu ya afisa elimu wamesema watapeleleza zaidi kuufahamu ukweli.

HALI YA SASA YA MWALIMU ALIYETAKA KUBAKA

Tangu timu ya afisa elimu kusema watalifanyia uchunguzi, mwalimu ameonekana akiongea na baadhi ya wanafunzi wa kike akiwa na sura ya hofu kana kwamba kuna kitu anataka kuficha.

TUKIO HILI LILITOKEAJE?

Kwa ufupi walimu hao wawili ofisi yao ni maabara ambayo ina magrill na mapaazia mazito.

Mwanafunzi huyu aliitwa na mwalimu huyo kuchukua mtihani wake.

Mwanafunzi huyo alienda, mashuhuda wawili wanazidi kusimlia.

Mwanafunzi alipoingia, pazia lilishushwa. Gafla wakaskia kelele kama ugomvi, niache, niache. Dakika sio nyingi, vitu kama vinadondoka ndani, ndipo mwanafunzi akatoka akikimbia huku kashikilia sketi imechanika. Moja kwa moja akaenda nyumbani

Binti huyu anasema mwalimu huyu amekuwa akimtongoza tangu kidato cha kwanza.

MWALIMU MWINGINE

Mwalimu mwingine huyu, anaekaa maabara. Mwenye sifa kama mwalimu wa kwanza. Huwaita wanafunzi na kuwawekea mziki kwenye smart phone na wanafunzi kuanza kucheza.

Mara kadhaa huwashika makalio na matiti na baadhi yao huwapa miadi wakutane siku za Jumamosi au Jumapili.

MHANGA MMOJA ANASIMULIA

Mwanafunzi mmoja wa kike, form one alichukizwa na kitendo cha mwalimu huyu, alimshika matiti na makalio. Alienda na kusema kwa mzazi.

Mzazi alilipeleka kwa mkuu wa shule, kikao kiliwekwa na mwalimu alionywa ingawaje hakukubali kosa.

Mwanafunzi huyu kaandamwa sana na walimu hawa wawili kwa manyanyaso ya kijinsia hadi anaomba ahamishwe shule. Ni matusi kwake na kejeli . Kwamba, umeshtaki imesaidia nini? Kwani hujawai kufanya?

Inauma sana.

YUPO MWALIMU ALIWAHI KUOA MWANAFUNZI BUTIMBA

Yupo mwalimu, alimpiga mimba mwanafunzi akiwa form 3, wazazi walimlazimisha amuoe na mpaka sasa alimuoa na hakuna hatua ya kisheria iliyochukuliwa kwa mwalimu huyo.


MKUU WA SHULE ALIYEAMIA MKOLANI SEKONDARI ANAJUA HAYA.

Aliwahi kumshuhudia mwalimu wa kiume amemkumbatia mwanafunzi maabara kimapenzi ila hakufanya lolote.

KIKAO CHA WAZAZI JANUARI
Mkuu wa shule mpya aliitisha kikao januari, suala la uzinzi wa walimu lilisemwa, ila hakuna hatua stahiki zilizo chukuliwa.

Wenye mamlaka nendeni karejee minutes za kikao cha Januari cha wazazi mtajua.

WAZIRI WA ELIMU NA TAASISI HUSIKA

Hili limezidi, linawakwaza waalimu, sana sana wa kike. Kwasababu hakuna hatua stahiki zinazo chukuliwa.

Mkishindwa kazi zenu, tutawasaidia. Haiwezekani mabinti wanyanyaswe kingono wapumbavu nyie mpo.

Imagine anafanyiwa mwanao, utajisikiaje?

USHAURI
Ni kazi rahisi, TAKUKURU, wekeni mtego, mtawashika hawa wapumbavu wote asubuhi na mapema. Kuanzia mkuu wa shule anayelea mpaka hao walimu wanaoacha wake zao na kutafuna watoto.

Nawasilisha.
Oyaaaa mwanangu unaishi hapa Butimba?
 
HABARI YA WANABODI?

Kuna huu upumbavu, umenikera. Hebu tusaidiane kuutatua.

NI JUU YA WAALIMU MALAYA WA BUTIMBA SEKONDARI-MWANZA


....Mwalimu mwanzalima na mwalimu paul....(JELA INAWAITA)

Mwalimu wa Butimba sekondari wiki hii alitaka kumbaka mwanafunzi ila Mungu saidia aliweza kumponyoka na kukimbia.

Mwanafunzi huyo wa kike sketi yake ilichanika, ilikuwa masomo ya saa tisa hivi.

Mwanafunzi alienda moja kwa moja kwa mama yake na kumjuza juu ya tukio hili. Mzazi alitoa taarifa kwa kiongozi mmoja wa chama na kiongozi wa chama akaijuza serikali na serikali ikamtuma afisa elimu wa wilaya ya Nyamagana kutatua mgogoro huo.

Mwalimu aliohijwa ila alikana kabisa kuhusika na tukio hilo.

Kikao cha mkuu wa shule na walimu pia hakikuzaa matunda, mwalimu bado alikana kata kata kuhusika na tukio hilo.

Mkuu mpya wa shule alimuita mzazi wa binti huyo wakaongea nae kwa kumpoza ili suala liishe, na hakika kwa mzazi na mwanafunzi ni kama limeisha.

Timu ya afisa elimu wamesema watapeleleza zaidi kuufahamu ukweli.

HALI YA SASA YA MWALIMU ALIYETAKA KUBAKA

Tangu timu ya afisa elimu kusema watalifanyia uchunguzi, mwalimu ameonekana akiongea na baadhi ya wanafunzi wa kike akiwa na sura ya hofu kana kwamba kuna kitu anataka kuficha.

TUKIO HILI LILITOKEAJE?

Kwa ufupi walimu hao wawili ofisi yao ni maabara ambayo ina magrill na mapaazia mazito.

Mwanafunzi huyu aliitwa na mwalimu huyo kuchukua mtihani wake.

Mwanafunzi huyo alienda, mashuhuda wawili wanazidi kusimlia.

Mwanafunzi alipoingia, pazia lilishushwa. Gafla wakaskia kelele kama ugomvi, niache, niache. Dakika sio nyingi, vitu kama vinadondoka ndani, ndipo mwanafunzi akatoka akikimbia huku kashikilia sketi imechanika. Moja kwa moja akaenda nyumbani

Binti huyu anasema mwalimu huyu amekuwa akimtongoza tangu kidato cha kwanza.

MWALIMU MWINGINE

Mwalimu mwingine huyu, anaekaa maabara. Mwenye sifa kama mwalimu wa kwanza. Huwaita wanafunzi na kuwawekea mziki kwenye smart phone na wanafunzi kuanza kucheza.

Mara kadhaa huwashika makalio na matiti na baadhi yao huwapa miadi wakutane siku za Jumamosi au Jumapili.

MHANGA MMOJA ANASIMULIA

Mwanafunzi mmoja wa kike, form one alichukizwa na kitendo cha mwalimu huyu, alimshika matiti na makalio. Alienda na kusema kwa mzazi.

Mzazi alilipeleka kwa mkuu wa shule, kikao kiliwekwa na mwalimu alionywa ingawaje hakukubali kosa.

Mwanafunzi huyu kaandamwa sana na walimu hawa wawili kwa manyanyaso ya kijinsia hadi anaomba ahamishwe shule. Ni matusi kwake na kejeli . Kwamba, umeshtaki imesaidia nini? Kwani hujawai kufanya?

Inauma sana.

YUPO MWALIMU ALIWAHI KUOA MWANAFUNZI BUTIMBA

Yupo mwalimu, alimpiga mimba mwanafunzi akiwa form 3, wazazi walimlazimisha amuoe na mpaka sasa alimuoa na hakuna hatua ya kisheria iliyochukuliwa kwa mwalimu huyo.


MKUU WA SHULE ALIYEAMIA MKOLANI SEKONDARI ANAJUA HAYA.

Aliwahi kumshuhudia mwalimu wa kiume amemkumbatia mwanafunzi maabara kimapenzi ila hakufanya lolote.

KIKAO CHA WAZAZI JANUARI
Mkuu wa shule mpya aliitisha kikao januari, suala la uzinzi wa walimu lilisemwa, ila hakuna hatua stahiki zilizo chukuliwa.

Wenye mamlaka nendeni karejee minutes za kikao cha Januari cha wazazi mtajua.

WAZIRI WA ELIMU NA TAASISI HUSIKA

Hili limezidi, linawakwaza waalimu, sana sana wa kike. Kwasababu hakuna hatua stahiki zinazo chukuliwa.

Mkishindwa kazi zenu, tutawasaidia. Haiwezekani mabinti wanyanyaswe kingono wapumbavu nyie mpo.

Imagine anafanyiwa mwanao, utajisikiaje?

USHAURI
Ni kazi rahisi, TAKUKURU, wekeni mtego, mtawashika hawa wapumbavu wote asubuhi na mapema. Kuanzia mkuu wa shule anayelea mpaka hao walimu wanaoacha wake zao na kutafuna watoto.

Nawasilisha.
Mkuu umegonga waraka kabisa. Kwani huwezi kufuata taratibu?
 
No kashikwa makalio na manyonyo kwa ridhaa yake baada ya hapo kaenda kushtaki [emoji23][emoji23]
Siku utakapo zaa binti wa kike ndyo utajua nn mleta mada kaleta

Naunga mkono hoja uchunguz ufanyike

Wanaojibu kejeli juu ya bandiko hili weng n watoto wasio na familia

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Dah,
Kwa haraka wewe ni mwalimu hapo shuleni unaamua kuchongea wenzako.. akina Paul..
Ila what goes around comes around

Kwa taaluma mimi sio mwalimu ndugu. Ila usiombe ukawa mhanga, eidha mwanao au mwana wa jamaa yako wa karibu afanyiwe hivi.
 
HABARI YA WANABODI?

Kuna huu upumbavu, umenikera. Hebu tusaidiane kuutatua.

NI JUU YA WAALIMU MALAYA WA BUTIMBA SEKONDARI-MWANZA


....Mwalimu mwanzalima na mwalimu paul....(JELA INAWAITA)

Mwalimu wa Butimba sekondari wiki hii alitaka kumbaka mwanafunzi ila Mungu saidia aliweza kumponyoka na kukimbia.

Mwanafunzi huyo wa kike sketi yake ilichanika, ilikuwa masomo ya saa tisa hivi.

Mwanafunzi alienda moja kwa moja kwa mama yake na kumjuza juu ya tukio hili. Mzazi alitoa taarifa kwa kiongozi mmoja wa chama na kiongozi wa chama akaijuza serikali na serikali ikamtuma afisa elimu wa wilaya ya Nyamagana kutatua mgogoro huo.

Mwalimu aliohijwa ila alikana kabisa kuhusika na tukio hilo.

Kikao cha mkuu wa shule na walimu pia hakikuzaa matunda, mwalimu bado alikana kata kata kuhusika na tukio hilo.

Mkuu mpya wa shule alimuita mzazi wa binti huyo wakaongea nae kwa kumpoza ili suala liishe, na hakika kwa mzazi na mwanafunzi ni kama limeisha.

Timu ya afisa elimu wamesema watapeleleza zaidi kuufahamu ukweli.

HALI YA SASA YA MWALIMU ALIYETAKA KUBAKA

Tangu timu ya afisa elimu kusema watalifanyia uchunguzi, mwalimu ameonekana akiongea na baadhi ya wanafunzi wa kike akiwa na sura ya hofu kana kwamba kuna kitu anataka kuficha.

TUKIO HILI LILITOKEAJE?

Kwa ufupi walimu hao wawili ofisi yao ni maabara ambayo ina magrill na mapaazia mazito.

Mwanafunzi huyu aliitwa na mwalimu huyo kuchukua mtihani wake.

Mwanafunzi huyo alienda, mashuhuda wawili wanazidi kusimlia.

Mwanafunzi alipoingia, pazia lilishushwa. Gafla wakaskia kelele kama ugomvi, niache, niache. Dakika sio nyingi, vitu kama vinadondoka ndani, ndipo mwanafunzi akatoka akikimbia huku kashikilia sketi imechanika. Moja kwa moja akaenda nyumbani

Binti huyu anasema mwalimu huyu amekuwa akimtongoza tangu kidato cha kwanza.

MWALIMU MWINGINE

Mwalimu mwingine huyu, anaekaa maabara. Mwenye sifa kama mwalimu wa kwanza. Huwaita wanafunzi na kuwawekea mziki kwenye smart phone na wanafunzi kuanza kucheza.

Mara kadhaa huwashika makalio na matiti na baadhi yao huwapa miadi wakutane siku za Jumamosi au Jumapili.

MHANGA MMOJA ANASIMULIA

Mwanafunzi mmoja wa kike, form one alichukizwa na kitendo cha mwalimu huyu, alimshika matiti na makalio. Alienda na kusema kwa mzazi.

Mzazi alilipeleka kwa mkuu wa shule, kikao kiliwekwa na mwalimu alionywa ingawaje hakukubali kosa.

Mwanafunzi huyu kaandamwa sana na walimu hawa wawili kwa manyanyaso ya kijinsia hadi anaomba ahamishwe shule. Ni matusi kwake na kejeli . Kwamba, umeshtaki imesaidia nini? Kwani hujawai kufanya?

Inauma sana.

YUPO MWALIMU ALIWAHI KUOA MWANAFUNZI BUTIMBA

Yupo mwalimu, alimpiga mimba mwanafunzi akiwa form 3, wazazi walimlazimisha amuoe na mpaka sasa alimuoa na hakuna hatua ya kisheria iliyochukuliwa kwa mwalimu huyo.


MKUU WA SHULE ALIYEAMIA MKOLANI SEKONDARI ANAJUA HAYA.

Aliwahi kumshuhudia mwalimu wa kiume amemkumbatia mwanafunzi maabara kimapenzi ila hakufanya lolote.

KIKAO CHA WAZAZI JANUARI
Mkuu wa shule mpya aliitisha kikao januari, suala la uzinzi wa walimu lilisemwa, ila hakuna hatua stahiki zilizo chukuliwa.

Wenye mamlaka nendeni karejee minutes za kikao cha Januari cha wazazi mtajua.

WAZIRI WA ELIMU NA TAASISI HUSIKA

Hili limezidi, linawakwaza waalimu, sana sana wa kike. Kwasababu hakuna hatua stahiki zinazo chukuliwa.

Mkishindwa kazi zenu, tutawasaidia. Haiwezekani mabinti wanyanyaswe kingono wapumbavu nyie mpo.

Imagine anafanyiwa mwanao, utajisikiaje?

USHAURI
Ni kazi rahisi, TAKUKURU, wekeni mtego, mtawashika hawa wapumbavu wote asubuhi na mapema. Kuanzia mkuu wa shule anayelea mpaka hao walimu wanaoacha wake zao na kutafuna watoto.

Nawasilisha.
hatari sana
 
Mimi nipoo hapa mikocheni industrial, tunazalisha soda naachaje kunywa soda kiwandan ,niende dukan?

Aisee, unajua lakini madhara ya "soda"? Kama ulivyoitumia kwenye comment yako?....muda si mrefu "gas" itavunwa
 
Mwalimu acha roho mbaya,wewe unalalama humu jukwaani Kama Nani?!!
Hao mashuhuda walishuhudia DYUDYU ikizama?!au walimshikia miguu?

Epuka kuwa chanzo Cha kumfanya binadamu mwenzio aishi kwa tabu hapa Duniani,mwache avune alichokipanda bila wewe KUHUSIKA Ila kwa hapa nawewe unaonekana una kawivu ka kike.

Aiseee....mungu wangu utusamehe kwa maana hatujui tulitendalo...
 
HABARI YA WANABODI?

Kuna huu upumbavu, umenikera. Hebu tusaidiane kuutatua.

NI JUU YA WAALIMU MALAYA WA BUTIMBA SEKONDARI-MWANZA


....Mwalimu mwanzalima na mwalimu paul....(JELA INAWAITA)

Mwalimu wa Butimba sekondari wiki hii alitaka kumbaka mwanafunzi ila Mungu saidia aliweza kumponyoka na kukimbia.

Mwanafunzi huyo wa kike sketi yake ilichanika, ilikuwa masomo ya saa tisa hivi.

Mwanafunzi alienda moja kwa moja kwa mama yake na kumjuza juu ya tukio hili. Mzazi alitoa taarifa kwa kiongozi mmoja wa chama na kiongozi wa chama akaijuza serikali na serikali ikamtuma afisa elimu wa wilaya ya Nyamagana kutatua mgogoro huo.

Mwalimu aliohijwa ila alikana kabisa kuhusika na tukio hilo.

Kikao cha mkuu wa shule na walimu pia hakikuzaa matunda, mwalimu bado alikana kata kata kuhusika na tukio hilo.

Mkuu mpya wa shule alimuita mzazi wa binti huyo wakaongea nae kwa kumpoza ili suala liishe, na hakika kwa mzazi na mwanafunzi ni kama limeisha.

Timu ya afisa elimu wamesema watapeleleza zaidi kuufahamu ukweli.

HALI YA SASA YA MWALIMU ALIYETAKA KUBAKA

Tangu timu ya afisa elimu kusema watalifanyia uchunguzi, mwalimu ameonekana akiongea na baadhi ya wanafunzi wa kike akiwa na sura ya hofu kana kwamba kuna kitu anataka kuficha.

TUKIO HILI LILITOKEAJE?

Kwa ufupi walimu hao wawili ofisi yao ni maabara ambayo ina magrill na mapaazia mazito.

Mwanafunzi huyu aliitwa na mwalimu huyo kuchukua mtihani wake.

Mwanafunzi huyo alienda, mashuhuda wawili wanazidi kusimlia.

Mwanafunzi alipoingia, pazia lilishushwa. Gafla wakaskia kelele kama ugomvi, niache, niache. Dakika sio nyingi, vitu kama vinadondoka ndani, ndipo mwanafunzi akatoka akikimbia huku kashikilia sketi imechanika. Moja kwa moja akaenda nyumbani

Binti huyu anasema mwalimu huyu amekuwa akimtongoza tangu kidato cha kwanza.

MWALIMU MWINGINE

Mwalimu mwingine huyu, anaekaa maabara. Mwenye sifa kama mwalimu wa kwanza. Huwaita wanafunzi na kuwawekea mziki kwenye smart phone na wanafunzi kuanza kucheza.

Mara kadhaa huwashika makalio na matiti na baadhi yao huwapa miadi wakutane siku za Jumamosi au Jumapili.

MHANGA MMOJA ANASIMULIA

Mwanafunzi mmoja wa kike, form one alichukizwa na kitendo cha mwalimu huyu, alimshika matiti na makalio. Alienda na kusema kwa mzazi.

Mzazi alilipeleka kwa mkuu wa shule, kikao kiliwekwa na mwalimu alionywa ingawaje hakukubali kosa.

Mwanafunzi huyu kaandamwa sana na walimu hawa wawili kwa manyanyaso ya kijinsia hadi anaomba ahamishwe shule. Ni matusi kwake na kejeli . Kwamba, umeshtaki imesaidia nini? Kwani hujawai kufanya?

Inauma sana.

YUPO MWALIMU ALIWAHI KUOA MWANAFUNZI BUTIMBA

Yupo mwalimu, alimpiga mimba mwanafunzi akiwa form 3, wazazi walimlazimisha amuoe na mpaka sasa alimuoa na hakuna hatua ya kisheria iliyochukuliwa kwa mwalimu huyo.


MKUU WA SHULE ALIYEAMIA MKOLANI SEKONDARI ANAJUA HAYA.

Aliwahi kumshuhudia mwalimu wa kiume amemkumbatia mwanafunzi maabara kimapenzi ila hakufanya lolote.

KIKAO CHA WAZAZI JANUARI
Mkuu wa shule mpya aliitisha kikao januari, suala la uzinzi wa walimu lilisemwa, ila hakuna hatua stahiki zilizo chukuliwa.

Wenye mamlaka nendeni karejee minutes za kikao cha Januari cha wazazi mtajua.

WAZIRI WA ELIMU NA TAASISI HUSIKA

Hili limezidi, linawakwaza waalimu, sana sana wa kike. Kwasababu hakuna hatua stahiki zinazo chukuliwa.

Mkishindwa kazi zenu, tutawasaidia. Haiwezekani mabinti wanyanyaswe kingono wapumbavu nyie mpo.

Imagine anafanyiwa mwanao, utajisikiaje?

USHAURI
Ni kazi rahisi, TAKUKURU, wekeni mtego, mtawashika hawa wapumbavu wote asubuhi na mapema. Kuanzia mkuu wa shule anayelea mpaka hao walimu wanaoacha wake zao na kutafuna watoto.

Nawasilisha.
mtoa mada bandiko lako nimelipenda sana ispokuwa hatua zinazochukuliwa si sahihi

hata ingelikuwa mimi nimefanya halafu mnaitisha kikao kuniuliza siwezi kukubali

hapo solution ni kuwatengenezea mtego sababu wanajifanya mafisi hao waalimu

mazingira kama hayo yakitokea ni vyema mka record ili kupata ushahid

endapo mkiwa na ushahidi halafu wenye mamlaka wakalifumbia macho swala hilo ni vyema hata mkaiweka ile record mtandao kama fb sababu ndio mtandao ambao wengi huwa wanaweza kuutumia tofauti na ilivyo Jf

ukitupia hiyo video mtandaoni kwa hakika uyo mwl miaka 30 itamuhusu tu

kwaiyo mimi ninachokushauri ni vyema kukawa na video kama ushahid halafu huone kama watatoka
 
Back
Top Bottom