Walimu Shule ya Sekondari Butimba na kashfa ya kujihusisha kimapenzi na Wanafunzi

Walimu Shule ya Sekondari Butimba na kashfa ya kujihusisha kimapenzi na Wanafunzi

Siku utakapo zaa binti wa kike ndyo utajua nn mleta mada kaleta

Naunga mkono hoja uchunguz ufanyike

Wanaojibu kejeli juu ya bandiko hili weng n watoto wasio na familia

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Heb usituvunjie heshima lakin mm namjua aliyepost hapa ni visa tuu hivi hamna ukwel wowote isitoshe alikuwa anahudhuria vikao vyote leo kajifanya kuleta hapa akilenga kumhari ia mtu
Ni wa kupuuzwa huyu
 
Mwalimu wa darasa umeongea kwa uchungu sana! Ila kama hatua zimechukuliwa kuleta huku mtandaoni ni kuzingua
Si mwalimu ndugu, ika hatua stahiki si sahihi. Tena kibaya zaidi, unawasikia waalimu rafiki zake wanasema " ticha umezingua, pisi kali zipo nyingi hapa shule, utamchukuaje mwenye sura ya baba yake?"...Kauli hii imenikera sana.
 
Haya sio ya kuleta humu kama una ushahidi peleka panapohusika tatizo la walimu ni majungu tu.
uku ndio swhemu yake, hampaswi kutetea ujinga wakuu

haya ni maisha, mtoto wa mwenzio ni mwanao pia, utajiskiaje endapo atafanyiwa mwanao?
 
Mmmmmmh sometimes jela inakuita!
Nyege mshindo gani hizo!?
Ukute ana mke na masuria yakutosha!

Kila mmoja ana mke, taarifa inasema kwamba anaviambia vitoto vidogo hivi kwamba mke anasumbua ndio maana wanataftwa wao. Yaani, ukorofi wa wake zao.
 
Na utakuta Majungu yote haya unagombania kuwa mwalimu wa stoo.
Zile profession za Yesu ualimu na ufundi seremala zimelaaniwa
 
Mwalimu acha roho mbaya,wewe unalalama humu jukwaani Kama Nani?!!
Hao mashuhuda walishuhudia DYUDYU ikizama?!au walimshikia miguu?

Epuka kuwa chanzo Cha kumfanya binadamu mwenzio aishi kwa tabu hapa Duniani,mwache avune alichokipanda bila wewe KUHUSIKA Ila kwa hapa nawewe unaonekana una kawivu ka kike.
yupo sahihi sana...kweli watanzania sijui nani aliyetuloga

hivi kweli jamani tunashabikia ujinga?

angelikuwa anafanyiwa mtoto wako ungekubali?

mtoa mada we endelea tu kukemea pale unapoona mambo hayaendi ndivyo sivyo

achana na hawa watu wanaokukatisha tamaa, tena washukuru wewe ndik umewaona

ningekuwa ndio mimi nimewafuma kwa hakika hao wote saa hz wananyea debe
 
mtoa mada bandiko lako nimelipenda sana ispokuwa hatua zinazochukuliwa si sahihi

hata ingelikuwa mimi nimefanya halafu mnaitisha kikao kuniuliza siwezi kukubali

hapo solution ni kuwatengenezea mtego sababu wanajifanya mafisi hao waalimu

mazingira kama hayo yakitokea ni vyema mka record ili kupata ushahid

endapo mkiwa na ushahidi halafu wenye mamlaka wakalifumbia macho swala hilo ni vyema hata mkaiweka ile record mtandao kama fb sababu ndio mtandao ambao wengi huwa wanaweza kuutumia tofauti na ilivyo Jf

ukitupia hiyo video mtandaoni kwa hakika uyo mwl miaka 30 itamuhusu tu

kwaiyo mimi ninachokushauri ni vyema kukawa na video kama ushahid halafu huone kama watatoka

Good idea. Lakini mimi si mwalimu. Ingekua hivyo ninge upload kila kitu hapa. Napaza sauti tuu, nimetumika kama spika.
 
hao waalimu wanaotaka kubaka ni wapumbavu, hv hyo shule inauongozi kweli mpaka mwalimu anataka kubakia maabara, Af wazazi nao wamekua wajing mwanao anaraka kubakwa we unapeleka kesi kwa kiongozi wa chama?

i wish mwanangu afanyiwe hvo akianani nazaa na walimu wote hapo shule
well said
 
Katika kada ambayo unaweza kusingiziwa mambo na jamii ikaamini ni kada ya Ualimu!

Kuna ujinga meingi sana. Nimefanya kazi sana katika sekta ya Elimu, kusengenyana, kufanyiana majungu, kusingiziana na kuoneana gere ni mambo ya kawaida sana hasa katika shule ambazo walimu wamekaa muda mrefu pamoja. Na hivi uhamisho ulisitishwa, kuwekeana fitna ambazo hata haziongezi kipato chao ni jambo la kawaida kabisa.

Ila ni ukweli pia walimu hasa wanaoanza kazi wanajihusisha sana mapenzi na wanafunzi wao. Maana hata kiumri wanakuwa age mates tu hivyo vijitabia vya uanafunzi bado huwatawala walimu hao.

Kwa stori hii, unaweza kuona namna gani mwanafunzi huyu aliyeleta story hii ama ni raia tu wa mtaani aliyena uhusiano na wanafunzi ameamua kumuua mwalimu.

La utakuta ni mwalimu tena wapo staff moja!
 
We jamaa unaonekana una ugomvi binafsi na huyo mwl ama lah amekugengea dada ako,mkeo au dem wako,au hata kakugonga wewe na akakuacha kwenye mataa labda ulitaka awe wako daima kwa kuwa kwa jinsi ulivyo eleza ni wazi unaushaidi sasa huendi Panapo husika unabaki kubwabwaja kama pumbu one

Ahsante ndugu yangu
 
Unaacha kwenda polisi unaenda kwa mkuu wa chama akili sijui zinakuaga wapi
Anyway madam watakua wamekuelewa wahusika maana umeandika kwa uchungu sana na inabidi vitendo kama hivi vikomeshwe
Alafu tuhamie kwa hawa wapumbavu wanaosema posho ya mwalimu ni mwanafunzi wa kike[emoji35]
 
Good idea. Lakini mimi si mwalimu. Ingekua hivyo ninge upload kila kitu hapa. Napaza sauti tuu, nimetumika kama spika.
Kama si mwalimu haya umeyapata wapi?

Au wewe ndi boyfriend wa wanafunzi hao na amekusimulia hayo mkiwa chumbani nawe ukaamini?

Ulishawahi jiuliza ni kwa kiwango gani umeumiza hisia za hao uliowataja?
 
Majungu tupu, unataka kuharibia watu vibarua vyao.
hao walimu wanataka kujiharibia ajira zao wenyewe

inamaana wanachokifanya hawajui kama ni kosa?

mnawaonea huruma watu ambao hawajionei huruma?

acheni tu waharibu kazi zao na ndani wakae

we mijike yoooote iliyojaa mtaani au walimu wenzao hawawaoni?

msitetee majinga hayo
 
We jamaa unaonekana una ugomvi binafsi na huyo mwl ama lah amekugengea dada ako,mkeo au dem wako,au hata kakugonga wewe na akakuacha kwenye mataa labda ulitaka awe wako daima kwa kuwa kwa jinsi ulivyo eleza ni wazi unaushaidi sasa huendi Panapo husika unabaki kubwabwaja kama pumbu one
hapo umekosea kaka! assume sasa angekuwa amefanyiwa hivyo mwanao ungelichukuliaje hilo swala?

yupo sahihi sana mtoa mada, hii inasaidia hata wazazi wengine kuwa aware na watoto zao
 
Kwa taaluma mimi sio mwalimu ndugu. Ila usiombe ukawa mhanga, eidha mwanao au mwana wa jamaa yako wa karibu afanyiwe hivi.
nakushauri mkuu ukiona mambo kama haya yanafanyika wala hata usiyafumbie macho

wengi wanao support huu ungese ni wale wasio na familia

sasa ngoja wazae halafu mtoto ndio anafika form four anapigwa mimba na mwl akae nyumban

wengi waliochangia uskute hata gharama za kusomesha hawajui na ndio maana wanaongea oumba tupu

mtu mwelevu ambaye anatumia gharama nyingi kusomesha hawezi akakubaliana na huo ujinga

tena ukimkuta mzazi kauzu ....mwl unakula na bomba kabisa ukafie mbele huko
 
Back
Top Bottom