Walimu Shule ya Sekondari Butimba na kashfa ya kujihusisha kimapenzi na Wanafunzi

Hizi tuhuma hazina ht ha ushahidi ka picha au video?au huko butimba simu janja ni changamoto?
Tuhuma based on hear says ni Umbea km Umbea mwingine tu.
 
We jamaa unaonekana una ugomvi binafsi na huyo mwl ama lah amekugengea dada ako,mkeo au dem wako,au hata kakugonga wewe na akakuacha kwenye mataa labda ulitaka awe wako daima kwa kuwa kwa jinsi ulivyo eleza ni wazi unaushaidi sasa huendi Panapo husika unabaki kubwabwaja kama pumbu one
 
Acha wivu mwalimu,ndy maana huwa mkistafu tu na kifo juu kwasababu roho mbaya zimewajaa
 
Ona hii ng'0mb3
 
Oyaaaa mwanangu unaishi hapa Butimba?
 
Mkuu umegonga waraka kabisa. Kwani huwezi kufuata taratibu?
 
No kashikwa makalio na manyonyo kwa ridhaa yake baada ya hapo kaenda kushtaki [emoji23][emoji23]
Siku utakapo zaa binti wa kike ndyo utajua nn mleta mada kaleta

Naunga mkono hoja uchunguz ufanyike

Wanaojibu kejeli juu ya bandiko hili weng n watoto wasio na familia

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Dah,
Kwa haraka wewe ni mwalimu hapo shuleni unaamua kuchongea wenzako.. akina Paul..
Ila what goes around comes around

Kwa taaluma mimi sio mwalimu ndugu. Ila usiombe ukawa mhanga, eidha mwanao au mwana wa jamaa yako wa karibu afanyiwe hivi.
 
hatari sana
 
Mimi nipoo hapa mikocheni industrial, tunazalisha soda naachaje kunywa soda kiwandan ,niende dukan?

Aisee, unajua lakini madhara ya "soda"? Kama ulivyoitumia kwenye comment yako?....muda si mrefu "gas" itavunwa
 

Aiseee....mungu wangu utusamehe kwa maana hatujui tulitendalo...
 
mtoa mada bandiko lako nimelipenda sana ispokuwa hatua zinazochukuliwa si sahihi

hata ingelikuwa mimi nimefanya halafu mnaitisha kikao kuniuliza siwezi kukubali

hapo solution ni kuwatengenezea mtego sababu wanajifanya mafisi hao waalimu

mazingira kama hayo yakitokea ni vyema mka record ili kupata ushahid

endapo mkiwa na ushahidi halafu wenye mamlaka wakalifumbia macho swala hilo ni vyema hata mkaiweka ile record mtandao kama fb sababu ndio mtandao ambao wengi huwa wanaweza kuutumia tofauti na ilivyo Jf

ukitupia hiyo video mtandaoni kwa hakika uyo mwl miaka 30 itamuhusu tu

kwaiyo mimi ninachokushauri ni vyema kukawa na video kama ushahid halafu huone kama watatoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…