Walimu tuliotoboa kimaisha tujuane

Walimu tuliotoboa kimaisha tujuane

Japo tunasemwa vibaya kutokana na maslahi duni Ila tupo wachache tumeshayapatia maisha.

1. Salio Benki si Chini ya 100m TZS,
2. Nyumba Bora ya kuishi (Kikuyu Dodoma)
3. Usafiri (Toyota Noah)
4. Vitega Uchumi kadhaa (nyumba 2 za kupangisha Dodoma Area D)

Mpwayungu Village
🤣🤣🤣🤣 maake hapo kwanza ncheke. Nyumba 2 za kupanga Area D zinakuingizia kiasi gani kwa mwaka ndugu?! Tuanzie hapo. Other wise twambie vitegauchumi vinavyofanya uwe na >=100M kwenye account.
 
d4702778-632a-40b9-8f4d-98cec03d4f86.jpg
 
Japo tunasemwa vibaya kutokana na maslahi duni Ila tupo wachache tumeshayapatia maisha.

1. Salio Benki si Chini ya 100m TZS,
2. Nyumba Bora ya kuishi (Kikuyu Dodoma)
3. Usafiri (Toyota Noah)
4. Vitega Uchumi kadhaa (nyumba 2 za kupangisha Dodoma Area D)

Mpwayungu Village
Nadhani Kwa taaluma yoyote uliyonayo, haikupi uhakika Kwa kutoboa...labda kama kuna ya ziada.

Kaka bila maelezo ya namna ulivyotoboa...hii haitatusaidia Walimu ambao hatujatoboa...

Na siamini kama lengo lako ni mjuane tu Walimu mliotoboa
 
Japo tunasemwa vibaya kutokana na maslahi duni Ila tupo wachache tumeshayapatia maisha.

1. Salio Benki si Chini ya 100m TZS,
2. Nyumba Bora ya kuishi (Kikuyu Dodoma)
3. Usafiri (Toyota Noah)
4. Vitega Uchumi kadhaa (nyumba 2 za kupangisha Dodoma Area D)

Mpwayungu Village
Hivi Noah ni gari ya kutembelea?

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Mwalimu kuwa na tunyumba tuwili tutatu twa kawaida inawezekana ila kwa hilo salio nakataa.
Kuna watu ama kwa kujua ama kuto kujua wanawachukulia poa sana walimu.....nawahakikishia walimu wa sasa si wa enzi zile binafsi nawajua walimu wengi tu ambao wamepambana kiuchumi wako mbali sana
 
Back
Top Bottom