Walimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo na Teknolojia cha Mwl.Nyerere wakaa Miaka 14 bila kufundisha kwa kukosa Wanafunzi

Kwani hicho chuo si kiliwekwa mahali palipokua shule ya sekondari Oswald Mang'ombe?

Na kama ndipo kilipo basi hakijaanza miaka 13 unayosema maana mdogo wangu ame-graduate pale form six 2016, hivyo basi hakina zaidi ya miaka 8. Kuhusu kua na wanafunzi sina taarifa zozote.
 
Mnatuchanganya! Hii habari yakuanza ujenz mbona ya June 2021?
Your browser is not able to display this video.
 
1. Wanaoajiriwa Wana sifa gani? GPA tu? Makada ndo wanapewa kipaumbele? Viongozi wa vyama vya wanafunzi ili kulipa fadhila?
2. Wanafanya tafiti?
3. Incentives za kufanya tafiti kuchapisha katika majarida ya kitaaluma ipoje?
 

Attachments

  • VID-20230123-WA0002.mp4
    12.2 MB
  • VID-20230122-WA0014.mp4
    15.6 MB
Muda mrefu Chuo kinatumika kama Siberia kwa Wahadhiri wa Vyuo vya umma. Inakuwa sehemu ya kuadhibu watu wasiowataka mara kwa sababu za kudhalimu kabisa. Kama vile zamani watumishi kupelekwa Mtwara. Safari ya mwezi mzima wakati wa masika
 
Dogo usikate tamaa mapema... jitahidi unapoitwa kwenye interview kua very smart... Tanzania inaenda kuwa kama nchi za India na Nigeria kwa high population... nchi ikiwa na Population kubwa hivyo hivyo Survival for fitness inakua kubwa... High intelligent ( High IQ+ High Skills ) ndio wanaopata nafasi chache katika watu wengi ktk ajira.... hii pia inategemea products zinazozalishwa kutoka vyuoni.. yaani chuo A kinaweza kutofautiana na chuo B kwa Products zake..katika soko la Ajira... regardless of the GPA/ Skills ulizozipata katika chuo A au chuo B
 
1. Wanaoajiriwa Wana sifa gani? GPA tu? Makada ndo wanapewa kipaumbele? Viongozi WA vyama vya wanafunzi ili kulipa fadhila?
2. Wanafanya tafiti?
3. Incentives za kufanya tafiti kuchapisha katika majarida ya kitaaluma ipoje?
Mkuu jiingize huko katika siasa hutajuta
 
Hii nchi ni ngumu sana! Ukisoma magazeti na habari Kwa ujumla utaona sifa za kukua Kwa uchumi, Elimu, Kilimo na mengine mengi. JuI tumeambiwa Kilimo kimekua kwa asilimia 1.4
Leo hakuna wanafunzi. Sasa Kilimo kinakuaje na wataalamu hakuna.

Rudi huku Nyuma nako mitaala ya Shule zetu ni hivyo zisizomsaidia mwanafunzi akimaliza.
Technolojia inakua Kwa Kasi badilisheni mitaala.
Sasa zinakuja gari za kuchaji Kwa umeme sijui sisi tunaenda wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…