uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Namheshimu sana Kabudi
Kabudi kanifundisha ujue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabudi kanifundisha ujue
Haya ndio majengo halisi au ni plan/ramani?
Huendi popote hizi shida umwachie naniKama ni Kweli, nasisitiza kama ni kweli,
Nahama inchi
Hiyo ni render ila Yeye kaona ni majengo kisa kaona kwenye gazeti🤣🤣Haya ndio majengo halisi au ni plan/ramani?
Kwa CCM inayoongoza serikali,chochote kinawezekana.Huu utakuwa mzaha mkubwa sana
Take it from me!This is the naked truth .Wengine tuliamua kufanya mambo mengine ya biashara na hatuishi MUSOMA as long as tuna lipwa.Kama ni Kweli, nasisitiza kama ni kweli,
Nahama inchi
Uwanja wa ndege Chato sasa tunaanikia Mihogo? Hospital ya rufaa sasa vitanda ni vya kupumzikia tukitoka shambani? CRDB Bank ni kijiwe cha bodaboda?Financing ya miundombinu ilichelewa. Ujenzi naamini ndio umeanza. Lakini chuo kilianzishwa kisiasa bila matayarisho ya kutosha.
Mtabaki nazo wenyewe, staki tabu mie, ndukii burundiiiiiiHuendi popote hizi shida umwachie nani
Si kweliHawa wahadhiri watakuwa wa mchongo
[emoji3][emoji3]Hiyo ni render ila Yeye kaona ni majengo kisa kaona kwenye gazeti[emoji1787][emoji1787]
HahahaDuh ,,hii Kali hata mzalendo namba 1 aliumaliza mwendo bila kulitambua hiloo?
Moja kwa Moja kwenye mada..
Walimu na wakufunzi wa Chuo Kikuu Cha Kilimo na Teknolojia Cha mwl.Nyerere kilichopo Butiama Mkoani Mara wamekaa miaka 14 Bila kufundisha huku wakipokea mshahara..
Hali hii imetokana na Kukosa Wanafunzi na madarasa..
Swali,Kwa nini Serikali isifute hivi vyuo vikuu vya Kisiasa? Kuna kingine kule Katavi sidhani kama kina Wanafunzi..
Hao walimu na wakufunzi sio hawajielewi unakaaje miaka 14 bila kufundisha kwani chuo hakina program za short course na workshop hata kwa watumishi wa umma wa maeneo hayo si bora wangeweka utaratibu wa kuwatembelea wakulima wakawafundishe direct aliyewaambia ukiwa mkufunzi ni kukaa na kusubir wanafunzi ni nani ?? Hizo akili za wapi..