Hivi mtoto wa fomfour miaka 17 hadi 20 inakuwaje hawezi kutofautisha Kati ya "r" na "l"
"Karibu" mtoto anaandika " kalibu"
👉Kwenye matamshi ya lugha binafsi siwezi tupa lawama hii ni kutokana na athari za kimakabila/kilugha
Lakini swala zima la maandishi imekuwa ni changamoto sana
👉Matumizi ya 'x" badala ya s
Matumizi ya vifupisho kwa Kila neno
👉Matumizi ya neno "h" hayazingatiwi kabisa kwa baadhi ya maneno
Mfano "haraka" mtu anaandika "araka"
Nitoe Rai kwa walimu wa kiswahili
👉Naomba muwe wakali sana kwa wanafunzi wenu. Msiweke vema tu bali mzingatie sarufi.
👉Kama hamuwezi kuwa wakali ebu kagueni sana miandiko ya wanafunzi wenu ni aibu mtoto anakaa shule zaidi ya miaka 11 hajui maandishi ya kiswahili vizuri na ni lugha mama?
👉Mbinu ya mwisho, andaeni midahalo ya kiswahili, lakini pia mwalimu tumia njia ya uhamasishaji "hali" kwa kutumia zawadi kwa mwanafunzi mzuri zaidi.
Ona tu huu uandishi huu👇
"Karibu" mtoto anaandika " kalibu"
👉Kwenye matamshi ya lugha binafsi siwezi tupa lawama hii ni kutokana na athari za kimakabila/kilugha
Lakini swala zima la maandishi imekuwa ni changamoto sana
👉Matumizi ya 'x" badala ya s
Matumizi ya vifupisho kwa Kila neno
👉Matumizi ya neno "h" hayazingatiwi kabisa kwa baadhi ya maneno
Mfano "haraka" mtu anaandika "araka"
Nitoe Rai kwa walimu wa kiswahili
👉Naomba muwe wakali sana kwa wanafunzi wenu. Msiweke vema tu bali mzingatie sarufi.
👉Kama hamuwezi kuwa wakali ebu kagueni sana miandiko ya wanafunzi wenu ni aibu mtoto anakaa shule zaidi ya miaka 11 hajui maandishi ya kiswahili vizuri na ni lugha mama?
👉Mbinu ya mwisho, andaeni midahalo ya kiswahili, lakini pia mwalimu tumia njia ya uhamasishaji "hali" kwa kutumia zawadi kwa mwanafunzi mzuri zaidi.
Ona tu huu uandishi huu👇