Ahaaa! Haya nimetuliza jazba ,munkari na nimesha shusha presha ngoja sasa nisome tena.mbona povu mwalimu?? nimewasakama wapi?? hebubsoma tena, tuliza jazba na munkari soma kwa kushusha presha uliyonayo utanielewa, sjakuja kumsakama mtu na kama umeona hivyo hio ni point yako of view mie hayanihisu.
Mie sina fundo na wewe tatizo mwanzo niliandika nikiwa na hivyo vitu ulivyo nishauri vingine nivishushe na nimetii ushauri wako nimevishusha na sahizi niko normal , sasa nisamehe mimi nimekosa mimi ,nimekosa sana.hukupaswa kutoa lugha kali kama "mshenzi" kwa kosa gani?? je ni hili bandiko au unafundo lako moyoni lenye kunihusu??
usijali, maisha yaendeleeMie sina fundo na wewe tatizo mwanzo niliandika nikiwa na hivyo vitu ulivyo nishauri vingine nivishushe na nimetii ushauri wako nimevishusha na sahizi niko normal , sasa nisamehe mimi nimekosa mimi ,nimekosa sana.
Ahahahahahah daah hili jina lina historia yake..Safi mkuu...japo sijapenda wewe kujiita poor brain na brain yako ipo na ubora mzuri hivyo😀
Walimu siku hizii hawana upendo wengi wetuuwiii Mungu aepushie jaman mana huko wanaunywa pia huo uji nimekuta busy na sim hana habari nimeghafilika vibaya sana
mh mh haya mambo yaskie kwa mwenzio na tuombe yastukute, Mungu aepushilie mbaliHiyo tisa kumi hii hapa
Kule Kibaha nadhani itakua Dar au mkoa wa Pwani, Kuna mmiliki wa shule ya watoto wadogo ambaye Ni punga. Story ime trend Sana. Wanasema na watoto wameanza huo mchezo mchafu. Mfichuaji ameenda mbele zaidi na kumtaja mhusika, shule mpaka namba yake ya simu na kuingeza kwamba ana bwanake anayemkula MTU mkubwa Sana serekalini.
Hepatitis sawa , ila HIV kuambukiza kwa mate ni ngumu sana labda mgonjwa awe stage 3 au 4 ya ugonjwa na tena awe anaumwa magonjwa nyemeleziNawasalimia
Kuna jambo leo limeniumiza mno moyo na kichwa changu kwa mawazo
Kisa kipo hivi
Leo kwetu huku ni mvua tangu jana usiku, kulipokucha nilimwandaa mwanangu kwenda shule, sio mbali na eneo tunaloishi. Baada ya kuona muda unaenda mtoto harudi ndio nikakumbuka mvua imesababisha nikajiandaa kumfuata hapo shuleni kwao, nilipofika nikakuta wapo maskini na mwalimu wao wanasubiri wazazi waje wawachukue, nikakuta ugomvi mtoto mmoja ambae namjua amemuuma kwa meno mwenzie huku akililia chupa ya maji ya mwanangu. Ni kama mwalimu wao amezizoea vurugu hivo alikuwa ametulia tuli kitini anachat
Nilipoingia na kuukuta ugomvi ule nikaamulia kwa kuwapokonya ile chupa, mtoto alieumwa na mwenzie akawa analia, tukasalimiana na mwalimu pale nikawa nambembeleza mtoto anayelia akinionesha alipoumwa nikamuuliza nani kakuuma akanionesha moyo wangu ulipasuka kwa woga na presha yule mtoto wazazi wake hawako vizuri kiafya namaanisha ni waathirika na inasemekana na mtoto wao huyo pia ameukwaa.
Nilichokifanya nikamuita mwalimu pembeni, nikamuuliza unaijua hali halisi ya huyu mtoto? mwalimu akakataa, nikamuuliza alivyoletwa huyu mtoto mliambiwa chohote kuhusu afya yake pia akakataa ikabidi nimueleze hali halisi.
Walimu mnaofundisha hizi shule za awali jamani muwe makini, tunajua mnachoka na vurugu za hao kina junior na dada zao ila muwe macho masaa yote nimeogopa nawaza ingekuwa mwanangu ameumwa vile japo sijaona kama kamchubua lakini tahadhari ni bora zaidi ingekuaje? na wazazi ni bora ukamuita mwalimu pembeni ukamueleza hali yako ajue namna ya kuishi na huyo mtoto na kuwasaidia wenzie, hiki kitu leo kimenifikirisha sana nimejaribu kuwaza ni shule ngapi watoto wa hivi wapo, alichonambia mwalimu pia ni wazazi hatuwi wazi
Tusaidiane kuwa wazi na kulinda wengine, watoto wana michezo chungu nzima hujui bahati mbaya itatokea upande gani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mvua za Leo pumbavu kweli....naingiza guu tu Kwa class nimeteleza[emoji855] ...makalio yananiuma kweli.[emoji849]
Mbarikiwe mkuu kwa namna mnavyohandle hawa watoto aseeehNi kweli kabisa yaani unayoongea ni correct.
Ushirikiano nyie na sisi ndio muhimu kwa mafanikio ya mtoto.
Kiufupi kufundisha au kushinda na hawa watoto ni kazi ya wito pia.
Mi naipenda kazi yangu pia napenda sana kuwa karibu na watoto japo kwa mara ya kwanza ilikua changamoto.
Ila mi sikujali wala nini.
Mi huwa nafatilia sana ingawa kuna wadada ambao wanahusika zaidi na mambo haya madogo madogo ila bado haitoshi mi kutokufatiliA