samsolo the great
JF-Expert Member
- Jul 9, 2021
- 750
- 1,086
Uko sahihiHuu ni mshahara wa 2022/2023!! Kipindi cha mama Samia mama wa kusikiliza watanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihiHuu ni mshahara wa 2022/2023!! Kipindi cha mama Samia mama wa kusikiliza watanzania
🤣🤣🤣mwalimu Mpwayungu Village haya yanatamkwa hapa yana ukweli?
Sasa hawa ndio wanafundisha watoto wenuWalimu sio watu wa kutetea, ni mara100 kutetea hata yule Mamba kule Rukwa, Walimu ni kundi limejaa wapumbavu,Wajinga,waoga, binafisi watoto wangu nimewapeleka Kusoma Kenya, kule wanajifunza ujasiri, Huku Tanzania wangefundishwa uoga na hawa walimu wetu,Pole yao ambao watoto wao wanafundishwa na aina hii ya walimu na kikubwa wanacho fanya wana transfer ujinga ule kwenda kwa watoto
Hivi hao wanaokula laki 3 Makazi, Chakula, Mavazi USAFIRI, vocha na matwaka binafsi wanayamudu vipi??Uko sahihi
🤣🤣🙄🤔Baadhi ya walimu wanaweza kutetea kwa nje ila kwa ndani sote tunakubali
Licha ya kuwa kazi nyingi chini ya halmashauri hazina maslahi ila ualimu ni kazi ya AJABU MNO
Kwa kweli tumepoteza miaka mitatu bure chuoni
Kuliko kumpeleka mwanao akasomee huu upumbavu ni bora umuache tu afanye kazi za mtaani.
Binafsi naongea hivi kwa experience.
UALIMU SIO KAZI
Kosa kubwa sana. Hii kada sijui ni lini itajitambua, tatizo linaanza kwa viongozi wao.Washaanza kabla ya 2025
UMOJA wa Walimu Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania
(TAHOSSA), wamechangishana kiasi cha shilingi milioni 1.6 kwaajili ya kumsaidia Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kuchukua fomu ya kugombea urais kwa mwaka 2025 ambao wameuita kama kapu la mama.
View attachment 2856020
Ndio maana si rahisi shule za serikali kucompete kimatokeo na quality ya elimu inayotolewa na shule za private.Walimu wa shule za serikali njaa kali na ukizingatia nguvu ya askari iko tumboni mwake na wanadai madai mbalimbali mfano likizo na malimbikizo lakini hakuna anayejali ni ahadi tu.Serikali itakapoanza kujali maslahi ya walimu urgently watoto wetu wataanza kupata elimu bora tujipe mudaHivi hao wanaokula laki 3 Makazi, Chakula, Mavazi USAFIRI, vocha na matwaka binafsi wanayamudu vipi??
Sasa kenya watajifunza nini wewe jamaa....Walimu sio watu wa kutetea, ni mara100 kutetea hata yule Mamba kule Rukwa, Walimu ni kundi limejaa wapumbavu,Wajinga,waoga, binafisi watoto wangu nimewapeleka Kusoma Kenya, kule wanajifunza ujasiri, Huku Tanzania wangefundishwa uoga na hawa walimu wetu,Pole yao ambao watoto wao wanafundishwa na aina hii ya walimu na kikubwa wanacho fanya wana transfer ujinga ule kwenda kwa watoto
Wewe unafanya kazi gani na kipato chako ni shillingi ngapi?Hivi hao wanaokula laki 3 Makazi, Chakula, Mavazi USAFIRI, vocha na matwaka binafsi wanayamudu vipi??
Weka mishahara ya Kada zingine piaBaada ya kuona kila leo kuna mijadala ya kuwadharau walimu ikanibidi niingie Google kujua walimu wanalipwa kiasi gani. Nilichokikuta huko ni aibu!!
Yaaani kwa mwezi mwalimu analipwa posho ya mbunge ya kikao kimoja?
Yaani serikali inaona poa kumlipa allowances askari magereza anayeshinda na wafungwa lakini mwalimu asubiri uchafuzi wa SISIEMU?
HII NI MISHAHARA YA WALIMU 2022/2023!!
B1 = Basic 419,000
Cwt = 8,390.
Pension = 20,950.
Income = 46,090.
Insur = 12,570
Take home = 331,000
C1 = Basic 530,000
Cwt = 10,600.
Pension = 26,500.
Income = 58,300.
Insurance = 15,900
Take home = 418,700
D1= Basic 716,000
Cwt = 14,320.
Pension = 35,800.
Income = 78,760.
Insurance = 21,400
Take home = 565,640
E1 = Basic 940,000
Cwt = 18,800.
Pension = 47,000.
Income = 103,400.
Insurance = 28,200
Take home = 742,600
F1 = Basic 1,235,000
Cwt = 24,700.
Pension = 61,750.
Income = 135,850.
Insurance = 37,050
Take home = 975,650
Source
![]()
Tanzania (MISHAHARA) Salary Scale Range 2022/2023 | Check Here
Latest Education and Ajira Portal: Cheki Nafasi za Kazi 2025, Ajira Mpya Tanzania, Interview Tips, Scholarships, NECTA Past Papers, MATOKEO, SELECTIONwww.ajiraleo.com
Mimi ni mkulima ni Kanyigo. Naishi kwangu na kwenda shambani situmii usafiri. Una swali lingine mdada mzuri Tui ??Wewe unafanya kazi gani na kipato chako ni shillingi ngapi?
Kwa sababu kama ni mfanyakazi mishahara inajulikana.Au wewe wanabee milionea?Na unaendesha BMW ya 2023?
Sijakukejeli so usianze matusi.Huna hadhi ya kuwasema waalimu wakati wewe mwenyewe tia maji tia maji.Mimi ni mkulima ni Kanyigo. Naishi kwangu na kwenda shambani situmii usafiri. Una swali lingine mdada mzuri Tui ??
Afya wana posho, night na overtime, Kilimo wanakafanyia kazi vijijini, means wanakula mashambani na wana marupurupu kwenye pembejeo na viwatirifu pamoja na posho za wakulima, Askari, wana posho ya laki 3 ambayo haikatwi kodi (sawa na mshahara wa mwalimu), posho ya makazi, posho ya vinywaji, posho ya taaluma, (meningine dhambi) magereza vilevile nao ni askari.Weka mishahara ya Kada zingine pia
Afya, kilimo, Askari, magereza nk
Maji nimeyatia wapi?? Sijawakejeri walimu kabisa nisome vizuri. Kama umeishi Dar es Salaam, ukiangalia gharama za usafiri let say boda kutoka gheto uliko panga ni 1000 mpaka kituo cha daladala x 2 [nenda rudi) + 3,000 ya dalala jumlisha 2000 boda kituoni mpaka shuleni chai 2,000 cha mchana 3,000Sijakukejeli so usianze matusi.Huna hadhi ya kuwasema waalimu wakati wewe mwenyewe tia maji tia maji.
Mkuu weka namba mwisho wa mwezi wanapata kiasi gani zaidi ya hapo walimuAfya wana posho, night na overtime, Kilimo wanakafanyia kazi vijijini, means wanakula mashambani na wana marupurupu kwenye pembejeo na viwatirifu pamoja na posho za wakulima, Askari, wana posho ya laki 3 ambayo haikatwi kodi (sawa na mshahara wa mwalimu), posho ya makazi, posho ya vinywaji, posho ya taaluma, (meningine dhambi) magereza vilevile nao ni askari.
Bado unataka ulinganishe na walimu wanaouza kashata shuleni??
We kweli Kifuru Kutu.
Nimejaribu ku Google mishahara ya askari bado sijapata source mujaribu. Sitaki maswala ya niamini mimi wakati kuna vyanzo vya kuaminika na bahati mbaya nshakunywa hizi pombe zetu feki afu Arsenal kapigwa!! KeshoMkuu weka namba mwisho wa mwezi wanapata kiasi gani zaidi ya hapo walimu
Masega yako salama lakini mkuu?!!! Maana si kwa miposho hiyo ulipwayo wewe!!Mshahara wa F1 ndio posho yangu hiyo.. kwa kweli wacha nimshukuru Mungu.
Umedanganywa hizo ni za kipindi cha Magufuli ila kwa mama Samia zinatofauti kidogoHuu ni mshahara wa 2022/2023!! Kipindi cha mama Samia mama wa kusikiliza watanzania