Walimu wa Tanzania ndio maana wanadharauliwa na kila mtu

Walimu wa Tanzania ndio maana wanadharauliwa na kila mtu

Afya wana posho, night na overtime, Kilimo wanakafanyia kazi vijijini, means wanakula mashambani na wana marupurupu kwenye pembejeo na viwatirifu pamoja na posho za wakulima, Askari, wana posho ya laki 3 ambayo haikatwi kodi (sawa na mshahara wa mwalimu), posho ya makazi, posho ya vinywaji, posho ya taaluma, (meningine dhambi) magereza vilevile nao ni askari.


Bado unataka ulinganishe na walimu wanaouza kashata shuleni??

We kweli Kifuru Kutu.
Umesahau posho ya pedi kwa akina mama.
 
Ngoja nitoe Ngoma juan leo mambo yalivyo[emoji250]‍[emoji834][emoji250]‍[emoji834]
Baada ya kuona kila leo kuna mijadala ya kuwadharau walimu ikanibidi niingie Google kujua walimu wanalipwa kiasi gani. Nilichokikuta huko ni aibu!!

Yaaani kwa mwezi mwalimu analipwa posho ya mbunge ya kikao kimoja?

Yaani serikali inaona poa kumlipa allowances askari magereza anayeshinda na wafungwa lakini mwalimu asubiri uchafuzi wa SISIEMU?

HII NI MISHAHARA YA WALIMU 2022/2023!!

B1 = Basic 419,000

Cwt = 8,390.
Pension = 20,950.
Income = 46,090.
Insur = 12,570
Take home = 331,000

C1 = Basic 530,000
Cwt = 10,600.
Pension = 26,500.
Income = 58,300.
Insurance = 15,900
Take home = 418,700

D1= Basic 716,000

Cwt = 14,320.
Pension = 35,800.
Income = 78,760.
Insurance = 21,400
Take home = 565,640

E1 = Basic 940,000

Cwt = 18,800.
Pension = 47,000.
Income = 103,400.
Insurance = 28,200
Take home = 742,600

F1 = Basic 1,235,000

Cwt = 24,700.
Pension = 61,750.
Income = 135,850.
Insurance = 37,050
Take home = 975,650

Source
Mishahara hiyo ya walimu hawafany wa dharaulike ila kinachofany wadharaulike wao n kundi kubwa mno ambalo hupokea MSHAHARA bila marupu rupu mengine , 98.96% walimu hujikimu na mishahara yao

Hiyo mishahara ndio mishahara wanayolipwa watumish wengi chin ya halmashaur na hata ngaz zngne utofaut ni sehemu zao za kaz zina advantage kwa posho mishe na allowance.

Hiyo hoja huwez kuta zinaletw na mtumish alie timia au mtumish wa halmashaur kwakuw wanajua mishahara yao hulingan na wengine hupokea chin kdogo

Nina ndugu na jamaa wapo afya, kilmo na vtengo vya halmashaur huwa wanaend Sawa

Hakun mtu anawez dharau mwingne . Utad

KIULINGANIFU NA WATUMISH WENGINE WA KAWAIDA (WENYE HADHI NA ELIMU SAWA MISHAHARA YAO SI MIDOGO) UKITAK HILO MWAGA MISHAHARA YA
POLIS
JWTZ
AFISA UGANI
MTENDAJ/KATA KIJIJI
HAO TEHAMA
WAASIBU
MIPANGO

WENGINE UTALETA MREJESHO NA UJUE KWA NN UJE NA MAJADIRIANO MAPYA
[emoji3482] Make sure ni mishahara sio vtu vngne
 
Walimu sio watu wa kutetea, ni mara100 kutetea hata yule Mamba kule Rukwa, Walimu ni kundi limejaa wapumbavu,Wajinga,waoga, binafisi watoto wangu nimewapeleka Kusoma Kenya, kule wanajifunza ujasiri, Huku Tanzania wangefundishwa uoga na hawa walimu wetu,Pole yao ambao watoto wao wanafundishwa na aina hii ya walimu na kikubwa wanacho fanya wana transfer ujinga ule kwenda kwa watoto
🙄🙄😳💭
 
Jamii forums kila member ana mshahara mkubwa/kipato kikubwa kasoro walimu.
Cha kushangaza ukija katika uhalisia huku mtaani walimu ndiyo wanakimbiza kwa kipato ukiondoa wakuu wa taasisi.
Huku kijijini nilipo walimu ndiyo wamewekeza kuliko kada yoyote
👍👌👏🙏💐
 
Maneno bila uhalisia ni tatizo kubwa la watanzania .

Ualimu ni taaluma inayoheshimika Sana , ni MTU mjinga anaweza kudharau kazi ya ualimu .

Kuhusu mshahara huwezi kumlaumu Mwalimu ila ni mfumo wa serikali . hivyo ntaendelea kushangaa ikiwa mtaendeleza hoja hizi ambazo hazina mashiko ya kutumia akili .


Tanzania kuna kundi kubwa la masikini ndo ambalo hukaa na kuanza kudharau walimu MTU ambaye yupo well satisfied with his or her life hawezi kuwa hivi anadharau watu.
 
Ngoja nitoe Ngoma juan leo mambo yalivyo[emoji250]‍[emoji834][emoji250]‍[emoji834]Mishahara hiyo ya walimu hawafany wa dharaulike ila kinachofany wadharaulike wao n kundi kubwa mno ambalo hupokea MSHAHARA bila marupu rupu mengine , 98.96% walimu hujikimu na mishahara yao

Hiyo mishahara ndio mishahara wanayolipwa watumish wengi chin ya halmashaur na hata ngaz zngne utofaut ni sehemu zao za kaz zina advantage kwa posho mishe na allowance.

Hiyo hoja huwez kuta zinaletw na mtumish alie timia au mtumish wa halmashaur kwakuw wanajua mishahara yao hulingan na wengine hupokea chin kdogo

Nina ndugu na jamaa wapo afya, kilmo na vtengo vya halmashaur huwa wanaend Sawa

Hakun mtu anawez dharau mwingne . Utad

KIULINGANIFU NA WATUMISH WENGINE WA KAWAIDA (WENYE HADHI NA ELIMU SAWA MISHAHARA YAO SI MIDOGO) UKITAK HILO MWAGA MISHAHARA YA
POLIS
JWTZ
AFISA UGANI
MTENDAJ/KATA KIJIJI
HAO TEHAMA
WAASIBU
MIPANGO

WENGINE UTALETA MREJESHO NA UJUE KWA NN UJE NA MAJADIRIANO MAPYA
[emoji3482] Make sure ni mishahara sio vtu vngne
Kinachoongelewa hapa ni huu ujinga na viherehere vyenu vya kujifanya mnampenda rais na kumchangia pesa kutoka kwenye hiyo mishahara yenu kidogo eti akachukue form za uraisi, huu ujinga umeuona wapi kwenye hizo idara zingine ulizozitaja
 
Kinachoongelewa hapa ni huu ujinga na viherehere vyenu vya kujifanya mnampenda rais na kumchangia pesa kutoka kwenye hiyo mishahara yenu kidogo eti akachukue form za uraisi, huu ujinga umeuona wapi kwenye hizo idara zingine ulizozitaja
Ikiwa wao wametoa hela zao je wewe unaathirika kwa namna gani?
 
Afya wana posho, night na overtime, Kilimo wanakafanyia kazi vijijini, means wanakula mashambani na wana marupurupu kwenye pembejeo na viwatirifu pamoja na posho za wakulima, Askari, wana posho ya laki 3 ambayo haikatwi kodi (sawa na mshahara wa mwalimu), posho ya makazi, posho ya vinywaji, posho ya taaluma, (meningine dhambi) magereza vilevile nao ni askari.


Bado unataka ulinganishe na walimu wanaouza kashata shuleni??

We kweli Kifuru Kutu.
Umeambiwa uweke mishahara ya kada zingine na sio utaje posho zao
 
Baada ya kuona kila leo kuna mijadala ya kuwadharau walimu ikanibidi niingie Google kujua walimu wanalipwa kiasi gani. Nilichokikuta huko ni aibu!!

Yaaani kwa mwezi mwalimu analipwa posho ya mbunge ya kikao kimoja?

Yaani serikali inaona poa kumlipa allowances askari magereza anayeshinda na wafungwa lakini mwalimu asubiri uchafuzi wa SISIEMU?

HII NI MISHAHARA YA WALIMU 2022/2023!!

B1 = Basic 419,000

Cwt = 8,390.
Pension = 20,950.
Income = 46,090.
Insur = 12,570
Take home = 331,000

C1 = Basic 530,000
Cwt = 10,600.
Pension = 26,500.
Income = 58,300.
Insurance = 15,900
Take home = 418,700

D1= Basic 716,000

Cwt = 14,320.
Pension = 35,800.
Income = 78,760.
Insurance = 21,400
Take home = 565,640

E1 = Basic 940,000

Cwt = 18,800.
Pension = 47,000.
Income = 103,400.
Insurance = 28,200
Take home = 742,600

F1 = Basic 1,235,000

Cwt = 24,700.
Pension = 61,750.
Income = 135,850.
Insurance = 37,050
Take home = 975,650

Source
Safi sana weka na kada zingine upolisi ,kilimo na kada zingine tuone
 
Safi sana weka na kada zingine upolisi ,kilimo na kada zingine tuone
Mkuu hawezi kuweka kwasababu lengo lake ni kuwadhalilisha walimu...na Kuna kada nyingi tu zinazidiwa mshahara na walimu...

NB:NI MJINGA TU ANAEWADHARAU WALIMU WETU
 
Hawa wajinga mi naona hata hizo bado ni kubwa sana ilitakiwa walipwe nusu yake maana hawana akili
 
Baada ya kuona kila leo kuna mijadala ya kuwadharau walimu ikanibidi niingie Google kujua walimu wanalipwa kiasi gani. Nilichokikuta huko ni aibu!!

Yaaani kwa mwezi mwalimu analipwa posho ya mbunge ya kikao kimoja?

Yaani serikali inaona poa kumlipa allowances askari magereza anayeshinda na wafungwa lakini mwalimu asubiri uchafuzi wa SISIEMU?

HII NI MISHAHARA YA WALIMU 2022/2023!!

B1 = Basic 419,000

Cwt = 8,390.
Pension = 20,950.
Income = 46,090.
Insur = 12,570
Take home = 331,000

C1 = Basic 530,000
Cwt = 10,600.
Pension = 26,500.
Income = 58,300.
Insurance = 15,900
Take home = 418,700

D1= Basic 716,000

Cwt = 14,320.
Pension = 35,800.
Income = 78,760.
Insurance = 21,400
Take home = 565,640

E1 = Basic 940,000

Cwt = 18,800.
Pension = 47,000.
Income = 103,400.
Insurance = 28,200
Take home = 742,600

F1 = Basic 1,235,000

Cwt = 24,700.
Pension = 61,750.
Income = 135,850.
Insurance = 37,050
Take home = 975,650

Source
Si ndiyo hawa hawa walimchangia Samia kupata for ya kugombea urais 2025??
 
Mkuu hawezi kuweka kwasababu lengo lake ni kuwadhalilisha walimu...na Kuna kada nyingi tu zinazidiwa mshahara na walimu...

NB:NI MJINGA TU ANAEWADHARAU WALIMU WETU
Huu ujinga (sina nendo mbadala) ndo mnauotumia kuwadanganyia walimu (alianza Rais Mkapa kwa kufuta Teaching allowance) eti kada flani wanalipwa kiasi kidogo kuliko nyinyi!!

Twende sawa
Tuseme Askari anayeanza kazi analipwa mshahara wa Tsh 400,000/= baada ya makato anabaki na 360,000 let say,

Baada ya hapo katikati ya mwezi anapewa laki 3 isiyo na makato kama posho, laki 1 ya vinywaji na anakaa line police. Utamfananisha na mwalimu sijui C hapo juu??

Njoo na hesabu sio siasa.

#Hatuwakejeli walimu, wananyonywa
 
Walimu sio watu wa kutetea, ni mara100 kutetea hata yule Mamba kule Rukwa, Walimu ni kundi limejaa wapumbavu,Wajinga,waoga, binafisi watoto wangu nimewapeleka Kusoma Kenya, kule wanajifunza ujasiri, Huku Tanzania wangefundishwa uoga na hawa walimu wetu,Pole yao ambao watoto wao wanafundishwa na aina hii ya walimu na kikubwa wanacho fanya wana transfer ujinga ule kwenda kwa watoto
Umeongea kidharau sana ila ndio ukweli isee hawa walimu wetu wanawajaza watoro wetu uoga mno na tabia za uchawauchawa zilianza shule wale waliokuwa wanajipendekeza kwa walimu kuwapa taarifa mbalimbali za wanafunzi walikuwa favored zaidi leo hii ndio tumeona madhara yake uchawa ndio imekuwa ajira kwa vijana nchini.
Ovyoo kabisaaa
 
Umeongea kidharau sana ila ndio ukweli isee hawa walimu wetu wanawajaza watoro wetu uoga mno na tabia za uchawauchawa zilianza shule wale waliokuwa wanajipendekeza kwa walimu kuwapa taarifa mbalimbali za wanafunzi walikuwa favored zaidi leo hii ndio tumeona madhara yake uchawa ndio imekuwa ajira kwa vijana nchini.
Ovyoo kabisaaa
Jamiiforums is the home of great thinkers!! Tuje na way forward kwani foundation ya nchi yoyote ni Elimu. Bika elimu bora hili taifa baada ya miaka 100 alitakuepo. Mark my words!!

Haewezekani Askari form 4 failure anayeshinda na wafungwa gerezani anamzidi mwalimu wa form six na diploma kipato wanacholipwa na serikali then tutegemee walimu watashindwa kuwa wanafiki, wazandiki na machawa!!


Mwalimu akishakua hivo unategemea mwanafunzi atakuaje??

#TUNATAKA ELIMU BORA, ELIMU BORA NI MSINGI BORA WA TAIFA
 
Back
Top Bottom